iqna

IQNA

CHAD
TEHRAN (IQNA) Hussein Ibrahim Taha ameanza rasmi kazi kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC).
Habari ID: 3474574    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia Hussein Ibrahim Taha, aliyewahi kuwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Chad ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC akichukua nafasi iliyokuwa ikishikiliwa Msaudia Yousef bin Ahmad Al-Othaimeen.
Habari ID: 3473404    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/29