msikiti - Ukurasa 15

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mcheza soka mstaafu wa kulipwa barani Ulaya, Frederic Oumar Kanoute, mwenye asili ya Afrika anaongoza mkakati wa kujenga msikiti huko Sevilla nchini Uhispania.
Habari ID: 3472096   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/23

Katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472094   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/21

TEHRAN (IQNA) - Polisi katika jimbo la Scoltand nchini Uingereza wanachunguza kitendo cha uhalifu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) baada ya maandishi dhidi ya Waislamu kupatikana yameandikwa katika kuta za msikiti eneo hilo.
Habari ID: 3471969   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/23

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul litageuzwa na kurejea katika hadhi yake ya msikiti, ameamuru Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki.
Habari ID: 3471893   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/29

TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema baadhi ya Waislamu hawana ufahamu sahihi wa Qur'ani na hivyo wanajihusisha na vitendo vilivyo kinyume cha mafundisho ya Uislamu.
Habari ID: 3471880   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/18

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 49, wakiwemo wanawake na watoto wadogo, wameuawa na wengine wasiopungua 48 wamejeruhiwa katika hujuma za kigaidi zilizofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand wakati waumini wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya Sala ya Ijumaa hii leo.
Habari ID: 3471877   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/15

TEHRAN (IQNA)- Mahakama nchini Austria imebatilisha uamuzi wa serikali kufunga misikiti sita ya jamii ya Waarabu nchini humo.
Habari ID: 3471842   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/15

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua wasiopungua wawili wameuawa na wengine wanne kujeruhiwa kufuatia hujuma ya gurunedi dhidi ya msikiti kusini mwa Ufilipino.
Habari ID: 3471826   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/01

TEHRAN (IQNA)- Wabunge katika muungano tawala nchini Ujerumani wamesema wanatafakari kuwashurutisha Waislamu kulipa ‘Ushuru wa Msikiti’ kama ambavyo Wakristo nchini humo wanatozwa ‘Ushuru wa Kanisa’.
Habari ID: 3471789   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/28

TEHRAN (IQNA)- Mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa nje ya msikiti katika mtaa wa Springs, mji wa Ekurhuleni eneo la East Rand mkoani Gauteng Afrika Kusini.
Habari ID: 3471764   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/08

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza mpango wa kukarabati misikiti zaidi ya 1,000 nchini humo na imetaka ushirikiano wa sekta mbali mbali katika kufikia lengo hilo.
Habari ID: 3471755   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/29

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Al-Nejashi nchini Ethiopia, unaoaminika kuwa msikiti kwa kwanza kujengwa barani Afrika, umekarabatiwa.
Habari ID: 3471718   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/24

TEHRAN (IQNA) - Wanaakiolojia huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) wamegundua msikiti unaokadiriwa kuwa uliojengwa miaka 1,000 iliyopita katika eneo unakojengwa Msikiti Mkuu wa Sheikh Khalifa mjini Al Ain karibu na mpaka wa nchi hiyo na Oman.
Habari ID: 3471663   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/08

TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 49 iliyopita, inayosadifiana na 21 Agosti 1969, Masjidul Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu, kilichomwa moto na Wazayuni.
Habari ID: 3471641   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/21

TEHRAN (IQNA)- Japan imezindua 'misikiti inayotembea' ambayo itatumika katika Michezo ya Olimpiki na Paralimpiki Tokyo mwaka 2020.
Habari ID: 3471611   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/29

TEHRAN (IQNA) – Kutokana na Waislamu kuswali mara tano kwa siku katika sala za jamaa misikitini, suala la usafi na unadhifu ni muhimu sana na limetiliwa mkazo katika mfundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3471537   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/30

TEHRAN (IQNA) –Waislamu wa mji mkuu wa Australia, Canberra wana sababu ya kutabasamu kufuatia kufunguliwa msikiti mpya katika mji huo baada ya jitihahada za muda mrefu.
Habari ID: 3471495   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/05

TEHRAN (IQNA)-Jamii ya Waislamu inazidi kuongezeka huko Hong Kongo, eneo lenye mamlaka ya kujitawala nchini China, na kwa msingi huyo kumeanzishwa jitihada za kujenga msikiti mpya ambao ujenzi wake umekwama kwa muongo moja sasa.
Habari ID: 3471466   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/15

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza kujengwa katika eneo la Outer Hebrides huko Scotland nchini Uingereza utafunguliwa katika kipindi cha miezi michahce ijayo hata baada ya Kanisa la Presbyterian kupinga vikali ujenzi huo.
Habari ID: 3471460   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/10

TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm, umehujumiwa na kuandikwa maandishi na nembo za kibaguzi siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3471441   Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/23