iqna

IQNA

Wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza hujuma zao za kidhalimu dhidi ya Wapalestina kwa kuuhujumu Msikiti katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3457989    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wameshambulia kwa bomu Masjid Nur jana Jumanne katika mtaa wal al-Nahda katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a ambapo watu saba wamepoteza maisha.
Habari ID: 3382986    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/07

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia inalazimika kukabidhi masuala ya kusimamia na kuendesha ibada ya Hija kwa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3370688    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/26

Waislamu 25 wa madhehebu ya Shia wameuawa shahidi na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti wakati wa Swala ya Idul-Adh’ha mapema leo asubuhi.
Habari ID: 3367085    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Rais Vladmir Putin wa Russia Jumatano amefungua msikiti mkuu wa Moscow ambao ni msikiti mkubwa zaidi barani Ulaya.
Habari ID: 3366927    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24

Jumuiya ya Ushirikiano wa nchi za Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama kujadili hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds.
Habari ID: 3365554    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/20

Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) limetekeleza miripuko ya mabomu kwenye msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Yemen Sana'a na kupelekea waumini wasiopungua 32 kupoteza maisha.
Habari ID: 3357626    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03

Utawala haramu wa Israel umeamuru kubomolewa milki tatu zaidi za Wapalestina, ukiwemo msikiti mmoja ulioko Quds Mashariki.
Habari ID: 3351059    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24

Kutokana na pendekezo lililotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa ajili ya kuenzi Msikiti wa kihistoria wa al Aqsa, tarehe 21 Agosti imetangazwa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Msikiti.
Habari ID: 3349544    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha viongozi wa nchi za Kiislamu kujadili kadhia ya Quds na Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3339755    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07

Kasisi mmoja nchini Nigeria ametamka shahada mbili na kuwa mfuasi wa dini Tukufu ya Kiislamu na baada ya hapo akaligeuza kanisa lake kuwa msikiti .
Habari ID: 3339749    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07

Mshtakiwa muhimu zaidi wa shambulio la kigaidi ndani ya msikiti mmoja nchini Kuwait amekiri kuwa ni mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
Habari ID: 3339565    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/06

Machafuko yameibuka leo Jumapili katika Msikiti wa Al Aqsa, eneo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu, mjini Quds (Jerusalem) siku mbili tu baada ya mtoto mchanga Mpalestina kuchomwa moto na kuuawa na walowezi wa Kiyahudi.
Habari ID: 3338073    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02

Watu wasiopungua watano wamepoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa katika hujuma ya bomu karibu na Msikiti wa Mashia katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a.
Habari ID: 3331848    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi dhidi ya msikiti nchini Kuwait.
Habari ID: 3320677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/28

Waislamu takribani 350,000 wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya pili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika msikiti wa Al Aqsa katika Quds Tukufu.
Habari ID: 3320171    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/27

Watu wasiopungua 25wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi iliyolenga msikiti wa Imam Sadiq AS katika mji wa Kuwait.
Habari ID: 3319688    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/26

Walimwengu wanaendelea kulaani hujuma ya kundi la kigaidi na Kitakfiri la ISIS au Daesh dhidi ya msikiti wa Msikiti wa Imam Hussein AS katika mji wa Dammam mashariki mwa Saudi Arabia.
Habari ID: 3309278    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30

Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea hujuma zake za kikatili nchini Yemen na mara hii zimehujumu kwa mabomu msikiti wa kihistoria ujulikanao kama Masjid Imam Hadi AS katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3276823    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09

Serikali kuu ya Italia imekwenda kwenye mahakama ya Katiba kupinga sheria mpya iliyopitishwa na serikali ya ndani ya jimbo la Lombardy la kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 2983062    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/14