Swala ya kwanza ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Hagia Sophia, Istanbul Uturuki baada ya zaidi ya miaka 86 ambapo maelfu ya waumini wameshiriki katika swala hiyo mnamo Julai 24, 2020
Habari ID: 3472996 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudia wamesema Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al-Masjid Al-Ḥaram, hautafunguliwa wakati wa Swala wa Idul Adha mwaka huu kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472991 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23
TEHRAN (IQNA) – Waislamu kote Scotland nchini Uingereza wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wameshiriki katika Swala ya Ijumaa kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa baada ya misikiti kufunguwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472975 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (IQNA) – Kuwait imesema inapanga kuruhusu tena Swala za Ijumaa wiki hii, vyombo vya habari nchini humo vimeripoti.
Habari ID: 3472965 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15
Mahakama ya Kilele Uturuki
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya juu zaidi nchini Uturuki imefungua njia ya jumba la zamani la Hagia Sophia kugeuzwa kuwa msikiti na kubadilisha hadhi yake ya sasa kama jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472949 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11
TEHRAN (IQNA) - Kundi la Taliban limetoa taarifa na kusema hujuma dhidi ya misikiti nchini Afghanistan zinatekelezwa na mashirika ya kijasusi ya maadui.
Habari ID: 3472861 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya asilimia 73 ya watu wa Uturuki wanataka Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul lirejee katika hadhi yake ya msikiti .
Habari ID: 3472859 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12
TEHRAN (IQNA) – Gaidi aliyeuhujumu msikiti nchini Norway amehukumiwa kifungo cha miaka 21 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua dada yake wa kambo na kufyatua risasi ndani ya msikiti mjini Oslo, mwezi Agosti mwaka jana.
Habari ID: 3472856 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/11
TEHRAN (IQAN)- Swala ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa mara ya kwanza jana baada ya msikiti huo kufungwa kwa wiki kadhaa kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472840 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06
TEHRAN (IQNA) – Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misikiti yote nchini itafunguliwa kwa ajili ya swala zote.
Habari ID: 3472820 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, utafunguliwa tena Jumanne.
Habari ID: 3472819 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31
TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa kijasusi wa utawala haramu wa Israel Ijumaa walimkamata Imamu wa Msikiti wa Al Aqsa Sheikh Ekrima Sabri akiwa nyumbani kwake Quds (Jerusalem) Mashariki.
Habari ID: 3472814 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29
TEHRAN (IQNA) - Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kushiriki katika Swala ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472796 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) utafunguliwa kwa waumini baada ya siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472781 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19
TEHRAN (IQNA) – Baada ya Mauritania kuondoa vizingiti vilivyokuwa vimewekwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19, misikiti imefunguliwa nchini humo.
Habari ID: 3472756 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/11
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiojulikana wameushambulia kwa mawe msikiti katika mji wa Cologne nchini Ujerumani katika tukio la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472750 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09
TEHRAN (IQNA) – Wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya wameushambulia msikiti karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
Habari ID: 3472708 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Uturuki imepiga marufuku kwa muda sala za Ijumaa na jamaa katika misikiti nchini humo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa hatari wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472572 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/16
TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia wa Paris, Ufaransa umetangaza kusitishwa kwa muda sala ya Ijumaa katika msikiti huo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona.
Habari ID: 3472551 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/10
TEHRAN (IQNA) – Msikiti umeteketezwa moto Jumanne katika mtaa wa Ashok Vihar katika mji mkuu wa India, New Delhi huku maandamano ya kupinga sheria mpya ya uraia yakiendelea.
Habari ID: 3472507 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/26