TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umetoa amri ya kubomolewa msikiti alimokuwa akiswalisha mwanazuoni maarufu wa Waislamu wa madehehebu ya Shia, Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3473410 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01
TEHRAN (IQNA)- Mtu ambaye alipatikana na hatia ya kuuhujumu msikiti na kuua Waislamu sita katika mkoa wa Quebec nchini Canada mwaka 2017 sasa anaweza kuwasilisha ombi la kuachiliwa huru baada ya miaka 25 gerezani.
Habari ID: 3473398 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27
TEHRAN (IQNA) – Misikiti 487 katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) itaruhusiwa tena kuwa na swala za Ijumaa kuanzia Disemba 4.
Habari ID: 3473394 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/25
TEHRAN (IQNA)- Malefu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wiki hii katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3473360 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14
TEHRAN (IQNA) - Swala ya kwanza ya Ijumaa baada ya miaka 28 imeswaliwa leo katika msikiti wa kihistoria Yukhari Govhar Agha katika mji wa Shusha eneo linalozozaniwa baina ya Jamhuri ya Azeribajan na Armenia la Nagorno-Karabakh.
Habari ID: 3473357 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13
TEHRAN (IQNA) – Masjid Tiban msikiti maridadi na wenye mvuto katika mji wa Malang nchini Indonesia.
Habari ID: 3473349 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umempiga marufuku naibu mkurugenzi wa Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) kuingia katika Msikiti wa Al Aqsa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473330 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens umefunguliwa baada ya miaka 14 ya vuta nikuvute na urasimu kupita kiasi.
Habari ID: 3473329 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya maelfu ya Waislamu wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu Dhaka, kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono kitendo cha kifidhuli cha jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473303 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu raia na wakaazi wa ufalme huo kuswali swala za jamaa za kila siku katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ).
Habari ID: 3473273 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/18
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ekrima Sa'id Sabri, Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) na khatibu katika Msikiti wa Al Aqsa mjini humo ametahadharisha kuhusu njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kutwaa sehemu ya msikiti huo ambao ni qibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3473249 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/11
TEHRAN (IQNA) – Misikiti zaidi Malaysia imejiunga na ‘Mpango wa Msikiti wa Kijani’ unaohusu kuzuia kulinda mazingira katika matumizi ya maji na umeme.
Habari ID: 3473211 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28
Msikiti wa Ar-Rahma, ambao pia unajulikana kama Msikiti wa Fatima Zahra (SA) ulijengwa mwaka 1985 katika mji wa Jeddah, Saudi Arabia.
Habari ID: 3473209 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28
TEHRAN (IQNAQ)- Waislamu nchini Ujerumani watawakaribisha wasiokuwa Waislamu katika misikiti mnamo Oktoba 3 katika siku hii ambayo kila mwaka inajulikana kama ‘Siku ya Msikiti Wazi.’
Habari ID: 3473202 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/25
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa New Zealand amezindua jiwe la ukumbusho katika Msikiti wa Al Noor mjini Christchurch kuwakumbuka Waislamu waliouawa katika hujuma ya kigaidi msikiti ni hapo mwaka jana.
Habari ID: 3473200 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada, wakisaidiwa na polisi ya utawala wa Israel, wameuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473187 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/20
TEHRAN (IQNA)- Baada ya miaka kadhaa ya vuta nikuvute, msikiti wa kwanza rasmi katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens utafunguliwa rasmi mwezi ujao wa Oktoba.
Habari ID: 3473181 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18
TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 17 wamepoteza maisha katika ajali ya mripuko wa bomba la gesi katika msikiti nchini Bangladesh.
Habari ID: 3473141 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05
TEHRAN (IQNA) –Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Dyanet) imepongeza hukumu ya maisha jela iliyotolewa dhidi ya gaidi Muaustralia ambaye alihusika katika mauaji ya Waislamu nchini New Zealand.
Habari ID: 3473112 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/28
TEHRAN (IQNA) –Mahakama nchini New Zealand imemhukumu kifungo cha maisha jela gaidi Brenton Tarrant baada ya kupatikana na hatia ya kuwaua Waislamu 51 wakati wa swala ya Ijumaa mwezi Machi mwaka jana katika mji wa Christchurch.
Habari ID: 3473108 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27