iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) -Msomi wa Kiislamu aliyeongoza mkakati dhidi ya misimamo mikali ya kidini, Sheikh Ahmed Lemu, ameaga dunia leo Alkhamisi akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3473486    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24