iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Mamilioni ya Waislamu kote duniani hii leo wanaomboleza katika siku ya Ashura ambayo ni siku aliyouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3472122    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10

TEHRAN (IQNA) – Waislamu kote duniani usiku wa kuamkia leo tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram wameshiriki katika vikao, majlisi na shughuli za maombolezo na kukumbuka misiba na masaibu yaliyomkuta mjukuu wa Mtume wetu Muhammad SAW, Imam Hussein bin Ali AS, ndugu na mswahaba zake waaminifu huko Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3472121    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/09

TEHRAN (IQNA) – India imeweka sheria ya kutotoka nje katika sehemu kadhaa la eneo linalozozaniwa la Kashmir baada ya jeshi kkuwashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wanashiriki katika maombolezo ya mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3472120    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/08

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Mtu mwenye chuki za kimadhehebu amemuua mtoto aliyekuwa na umri wa miaka sita, mbele ya mama yake katika mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471835    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/09

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala Saudi Arabia wamewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa wakishiriki katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3471670    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/14

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Wajdi Mubarak mmoja katia ya wanazuoni wa Ki shia nchini Saudi Arabia ametaka kuwepo ushirikiano kamili baina ya waumini na maafisa wa usalama nchini humo katika maadhimisho ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3471664    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/09

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ameituhumu Saudi Arabia kuwa inaliunga mkono kifedha Jeshi la Nigeria ili litekeleza mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3471484    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kutekeleza sera za ukandamizaji dhidi ya wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwanyonga, kuwatesa, kuwapokonya uraia na kuwalazimui kuihama nchi huku mashirika ya kutetea haki za binadamu yakinaani uovu huo ambao umenyamaziwa kimya na Umoja wa Mataifa na nchi za Magharibi.
Habari ID: 3471379    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/03

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Imelaani hujuma za kigaidi zilizolengamisikiti miwili katika miji ya Kabul na Ghor nchini Afghanistan siku ya Ijumaa na kuuawa waumini zaidi ya 80.
Habari ID: 3471226    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/22

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia kote duniani wanashiriki katika maadhimisho ya Siku ya Tasu'a, wakifanya maombelezo ya kukumbuka mapambano ya Karbala yaliyopelekea kuuawa shahidi Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471199    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/30

TEHRAN (IQNA) Magaidi wameuhujumu msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Kabul, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471142    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wametekelza hujuma dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa amdhehebu ya Shia huko Herat, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ishaa Jumanne usiku.
Habari ID: 3471098    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa kiimla na kikabila wa Saudi Arabia wametekeleza hujuma za kijeshi katika makazi ya Waislamu wa madehebu ya Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471093    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30

TEHRAN (IQNA)- Katika kuendelea ukiukaji wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia, utawala wa Aal Saud umewanyonga raia wanne wa nchi hiyo wa mji wa Qatif.
Habari ID: 3471065    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/14

TEHRAN (IQNA)-Kwa muda wa takribani miezi miwili mtaa wa al Mosara katika mji wa Awamiyah nchini Saudi Arabia umekuwa chini ya mzingiro wa wanajeshi ambao wametekeleza uharibifu mkubwa na kuwaua raia kadhaa.
Habari ID: 3471060    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Saudi Arabia wanaendelea kuwaua na kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa al-Awamiyah mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470985    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/19

Ayatullah Muhsin Araki
IQNA-Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na Utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika Ulimwengu wa Kiislamu."
Habari ID: 3470848    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/13

Kwa munasaba wa kuanza Wiki ya Umoja wa Kiislamu
IQNA-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uwepo wa dini na madhehebu mbali mbali hapa nchini umesaidia kuimarisha umoja na mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3470737    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/12

IQNA-Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni nchini Tanzania wameshiriki katika matembezi ya pamoja kisha wakaswali sala ya Jamaa kwa munasaba wa kukumbuka kuaga dunia Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3470708    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/01

IQNA- Waislamu zaidi ya milioni 20 wamekusanyika Karbala nchini Iraq kwa ajili ya Arubaini ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470688    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/21