iqna

IQNA

shia
Taazia
IQNA – Marjaa Mkuu wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Seyed Ali al-Sistani ametoa pole kwa kifo cha Sheikh Mohsin Ali Najafi, mfasiri wa Qur'ani na mwanachuoni mwandamizi wa Pakistan.
Habari ID: 3478176    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Elimu
TEHRAN (IQNA) – Mtafiti wa historia ya Uislamu amesifu kazi za "thamani" i za mwanazuoni wa Kijerumani-Muingereza Wilferd Madelung aliyefariki hivi karibuni.
Habari ID: 3476993    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/13

Elimu
TEHRAN (IQNA) – Profesa mashuhuri wa masomo ya Kiislamu Wiferd Madelung alifariki dunia tarehe 9 Mei 2023.
Habari ID: 3476986    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Waislamu Duniani
TEHRAN (IQNA) - Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja, kulalamikia ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3476235    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Mwanazuoni wa Ahul Sunna nchini Iran
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Kisunni nchini Iran na mjumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu yanaweza kutatuliwa kwa umoja.
Habari ID: 3475419    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Sunni na Shia
TEHRAN (IQNA) - Imam Sadiq (AS) ni mmoja wa shakhsia mashuhuri wa elimu na sayanzi za Kiislamu katika nyanja mbalimbali kama vile fiqhi, tafsiri, maadili, jiografia, uchumi, unajimu, tiba na hisabati, ambapo wanafunzi wake waliibua uwezo mkubwa katika maendeleo ya elimu na sayansi katika kote katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475297    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

Ukandamizaji
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Juu ya Saudia imeendeleza sera za kuwaua Waislamu wa madhehebu ya Shia kwa kuidhinisha hukumu ya kuwanyonga vijana wawili raia wa Bahrain.
Habari ID: 3475275    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21

TEHRAN (IQNA)- Hatua ya utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia ya kuwanyonga watu 81 wakiwemo vijana 41 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia imekbiliwa na upinzani mkali na jamii ya kimataifa, makundi na harakati za kisiasa katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475034    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi usiku magaidi walishambulia mtaa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Herat nchini Afghanistan ambapo watu wasiopungua saba waliuawa na wengine 10 walojeruhiwa.
Habari ID: 3474842    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23

Hujjatul Islam Shahriyari
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam wal Muslimin Shahriari amesema itikadi ya Ukufurishaji ni kati ya njama za mabeberu na Wazayuni dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474640    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mahmoud Shaltut wa Misri alikuwa miongoni mwa wanazuoni walioanzisha harakati ya kukurubisha madhehebu za Kiislamu na alitoa fatwa ya kihistoria kuhusu U shia .
Habari ID: 3474491    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/30

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni mwandamizi wa Iraq amesisitiza kuhusu ulazima wa wanazuoni na maulamaa wa Kiislamu dunaini kuwa macho ili kuzuia njama za maadui za kuchochea mifarakano baina ya Waislamu.
Habari ID: 3474452    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Hujuma dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kandahar, Afghanistan imelaaniwa vikali na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar na Mufti wa Misri.
Habari ID: 3474430    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha magaidi wakufurishaji kuushambulia msikiti wa Bibi Fatima wakati wa Sala ya Ijumaa mjini Kandahar nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474428    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.
Habari ID: 3474426    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15