shia

IQNA

IQNA – Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la Qatif nchini Saudi Arabia wanaendelea kufanya majlisi na ibada za Muharram licha ya vizuizi vinavyoripotiwa kuwekwa na mamlaka.
Habari ID: 3482376   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/19

IQNA – Kwa miaka mingi, Iraq nzima, na hasa mji mtukufu wa Najaf, ilitegemea nakala za Qur’ani zilizochapishwa nje ya mipaka yake kwa ajili ya kusambazwa misikitini na katika vituo mbalimbali za kielimu.
Habari ID: 3482276   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/24

IQNA – Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amemteua kiongozi mmoja kutoka jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia kuwa Waziri wa Uwekezaji wa nchi hiyo.
Habari ID: 3481937   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15

IQNA- Mlipuko mkubwa umetikisa msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika viunga vya mji mkuu wa Pakistan wakati wa sala ya Ijumaa, na ambapo watu wasiopungua 31 wameuawa shahidi huku wengine wasiopungua 169 wakijeruhiwa. Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limetangaza kuhusika na hujuma hiyo.
Habari ID: 3481895   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/07

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wanazuoni wa Kiislamu kutoka Georgia umezuru Haram ya Imam Ridha (AS) jini Mashhad, Iran, ambapo wamekutana na maafisa wa Astan Quds Razavi (AQR), taasisi inayosimamia haram hiyo tukufu.
Habari ID: 3481664   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Mkutano wa kwanza wa timu iliyo na jukumu la kupanga ujenzi wa Husseiniya (kumbikidini katika madhehebu ya Shia) na Misikiti nchini Kuwait ulifanyika Jumatatu.
Habari ID: 3481138   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26

Jamii
IQNA – Kuenea kwa vikundi vya magaidi wakufurishaji katika maeneo ya mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan kumesababisha mateso kwa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Parachinar, msomi mmoja wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3479854   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04

Mtukio ya Karbala
Mji mtakatifu wa Karbala katika mkesha wa Ashura ulikuwa na mazuari mamilioni ya Wafanya Ziyara wakiomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein (AS) na masahaba zake.
Habari ID: 3479140   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/17

Imam Ali (AS) Najaf, Iraq,
Siku ya Ashura inapokaribia, ua wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, ulifunikwa na zulia jekundu.
Habari ID: 3479122   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

IQNA - Warsha ya kuandaa kaburi (haram) la Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, imekuwa ikiendelea kwa kutayarisha bendera nyeusi na mabango kabla ya mwezi wa Hijri wa Muharam.
Habari ID: 3479081   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06

Taazia
IQNA – Marjaa Mkuu wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Seyed Ali al-Sistani ametoa pole kwa kifo cha Sheikh Mohsin Ali Najafi, mfasiri wa Qur'ani na mwanachuoni mwandamizi wa Pakistan.
Habari ID: 3478176   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Elimu
TEHRAN (IQNA) – Mtafiti wa historia ya Uislamu amesifu kazi za "thamani" i za mwanazuoni wa Kijerumani-Muingereza Wilferd Madelung aliyefariki hivi karibuni.
Habari ID: 3476993   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/13

Elimu
TEHRAN (IQNA) – Profesa mashuhuri wa masomo ya Kiislamu Wiferd Madelung alifariki dunia tarehe 9 Mei 2023.
Habari ID: 3476986   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Waislamu Duniani
TEHRAN (IQNA) - Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja, kulalamikia ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3476235   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Jinai dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Askari wa Jeshi la Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Hussein AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
Habari ID: 3475597   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Mwanazuoni wa Ahul Sunna nchini Iran
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni mwandamizi wa Kisunni nchini Iran na mjumbe wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu yanaweza kutatuliwa kwa umoja.
Habari ID: 3475419   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Sunni na Shia
TEHRAN (IQNA) - Imam Sadiq (AS) ni mmoja wa shakhsia mashuhuri wa elimu na sayanzi za Kiislamu katika nyanja mbalimbali kama vile fiqhi, tafsiri, maadili, jiografia, uchumi, unajimu, tiba na hisabati, ambapo wanafunzi wake waliibua uwezo mkubwa katika maendeleo ya elimu na sayansi katika kote katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475297   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26