iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mirengo miwili ya Al Fat-h na An-Nasr pamoja na harakati ya Hekima ya Kitaifa na ile ya Sadr nchini Iraq zimekaribisha juhudi za timu ya mazungumzo ya nchi hiyo zilizowezesha kufikiwa makubaliano na Marekani ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq.
Habari ID: 3474131    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

Makumi ya watu wameuawa katika mwendelezo wa mashambulizi ya kichokozi ya Saudi Arabia na waitifaki wake nchini Yemen.
Habari ID: 3313339    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12