Maoni
IQNA-Afisa wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa taarifa za kijasusi za Israel zilichochea mapigano ya Darfur, Sudan ili kuisukuma hali kuelekea kwenye mgogoro na mgawanyiko zaidi, na kwamba mapigano ya sasa nchini humo hatimaye yataishia kwa kugawanywa katika maeneo kadhaa.
Habari ID: 3481576 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/27
Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhma, Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Marekani haifichi uadui wake, na daima imekuwa ikipanga njama za kutaka kutoa pigo kwa taifa la Iran.
Habari ID: 3361065 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/10
Imebainika kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulikuwa umepanga kumuua Kiongozi wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah katika Siku ya Ashura, Novemba 4.
Habari ID: 1473222 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15