Jinai za Israel
IQNA - Apple, YouTube na majukwaa mengine ya vyombo vya habari yamehimizwa na kikundi cha kutetea Waislamu cha Marekani kufuta podikasti ya kila wiki ya Wazayuni Waisraeli ya lugha ya Kiingereza ambayo husifu mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3479385 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/05
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kimarekani la Apple ya limeondoa aplikesheni ya Quran Majeed katika simu zake zinazouzwa nchini China jambo ambalo limeibua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.
Habari ID: 3474435 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/17