iqna

IQNA

Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Nigeria Dr Abdullateef Abdulhakeem ametoa wito kwa Waislamu kuzingatia zaidi msikiti si tu kama sehemu ya kusimamisha sala bali pia kituo cha kurekebisha jamii.
Habari ID: 3470291    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04

Jaji wa Mahakama Kuu ya mji wa Lagos nchini Nigeria ametetea na kuungamkono marufuku iliyokuwa imetangazwa kwa vazi la hijabu ya Kiislamu kwa shule za serikali katika mji huo.
Habari ID: 1461427    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/19