IQNA- Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa “mbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye chuki dhidi Uislamu” baada ya Trump kutumia hotuba yake katika Umoja wa Mataifa kumuita Khan “ meya mbaya” na kudai kuwa jiji la London linaelekezwa kwenye “sheria ya Kiislamu (sharia)”.
Habari ID: 3481286 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/26
IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeitaka kampuni ya uwekezaji ya Sequoia Capital kumwondoa mshirika wake Shaun Maguire, kufuatia chapisho la mitandao ya kijamii lililokosolewa vikali kwa kuendeleza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480934 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
Wanasiasa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika Kusini, diwani Muislamu kutoka chama kidogo cha Al Jama-ah amechagualiwa kuwa Meya wa Jiji la Johannesburg, kitovu cha biashara cha nchi hiyo.
Habari ID: 3476528 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Waislamu na siasa Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Akhtar Zaman amechaguliwa kama meya mpya wa mji wa Bolton nchini Uingereza, na kuwa Muislamu wa kwanza anayechukua nafasi hiyo.
Habari ID: 3475285 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23
Sadiq Khan wa chama kikuu cha upinzani cha Leba nchini Uingereza amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa London na hivyo kuwa Meya wa kwanza Mwislamu kuuongoza mji huo mkuu.
Habari ID: 3470297 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/07