iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umrah Saudi Arabia imetangaza kuendelea marufuku ya kugusa Hajar Al Aswad (Jiwe Jeusi) na kuswali katika Hijr Ismail katika Msikiti Mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3474699    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20