TEHRAN (IQNA)- Abdullah Hammoud ameapishwa kama meya wa kwanza Muislamu katika mji wa Dearborn jimboni Michigan ambapo amekula kiapo akiwa amewekelea mkono wake juu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474813 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16
TEHRAN (IQNA)- Issa Shahini ni Muislamu aliyehudumu kwa muda mrefu katika Idara ya Polisi ya Dearbon, jimboni Michigan Marekani na sasa ameteuliwa kuwa mkuu wa polisi katika mji huo.
Habari ID: 3474702 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21