Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa Awamu ya 3 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yamalizika, washindi watajwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3478647 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Waandaaji wa Awamu ya Tatu ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat wametangaza kanuni na vigezo vya kuwasilisha visomo vya qiraa ya Qur'ani iliyorekodiwa.
Habari ID: 3478196 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14
Mashindano ya Qur'ani ya Meshkat
IQNA – Usajili umeanza kwa ajili ya Toleo la Tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat, ambayo hufanyika mtandaoni chini ya usimamizi wa Taasisi ya Qur'ani ya Meshkat.
Habari ID: 3478122 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Katika hafla ya Ijumaa, washindi wa toleo la 2 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat walitangazwa.
Habari ID: 3475932 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Makala ya 4 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yanatarajiwa kufanyika nchini Iran katika miezi ijayo.
Habari ID: 3475352 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Meshkat wametangazwa baada ya klipu zao kusikilizwa na jopo la majaji.
Habari ID: 3474985 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28
TEHRAN (IQNA) Muhula wa kushiriki Mashidano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yatafanyika kwa njia ya intaneti umeongezwa kwa siku tisa.
Habari ID: 3474899 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06
TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yatafanyika kwa njia ya intaneti ambapo washiriki watatakiwa kumuiga msomaji maarufu wa Qur'ani Marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Swamad.
Habari ID: 3474797 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12