iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Matini ya Hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyotoa katika mkutano na waandaaji wa kongamano la Hadhrat Hamza AS, uliofanyika tarehe 25 ya mwezi uliopita wa Januari ilitolewa katika kongamano hilo lililofanyika jana katika mji wa Qom.
Habari ID: 3474886    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/04