iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa Gaza na mkuu wa shirika la kutoa misaada anasema Wapalestina hawawezi tena kuamini sheria za kimataifa kwani zimeshindwa kuwalinda watoto ambao wanakabiliwa na uvamizi wa kikatili wa Israel.
Habari ID: 3477926    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watoto 5,000 wameuawa katika vita vya mauaji ya kimbari vya utawala katili wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7. Onyo: Video hii ina matukio ambayo wengine wanaweza kupata ya kuwasumbua.
Habari ID: 3477925    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/21

Watetezi wa Palestina
CANBERRA (IQNA) – Maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana kote Australia wikiendi hii, wakitoa wito wa kukomeshwa mara moja kwa mashambulizi ya kinyama ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza ambayo yameua zaidi ya watu 13,000, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto, tangu Oktoba 7.
Habari ID: 3477918    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20

Jinai za Israel
RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi, na Utamaduni (ISESCO) limetoa tamko kali siku ya likilaani mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya shule mbili kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kuwa ni "fedheha kwa ubinadamu" na "uhalifu wa kutisha".
Habari ID: 3477917    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/20

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Takriban watu 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati ndege za kivita za utawala wa Israel zilipodondosha mabomu katika msikiti mmoja katika mtaa wa Sabra katikati mwa Ukanda wa Gaza huku utawala huo ukiendeleza mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3477900    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/16

Jinai za Israel
LONDON (IQNA) - Askofu Mkuu wa Canterbury amesema hakuna msingi wowote wa kimaadili unaoweza kuhalalisha mauaji ya Wapalestina huko Gaza ambayo yanatekelezwa na utawala wa Israel.
Habari ID: 3477889    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Mashambulio yasiyokoma ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza yaliyoanza tarehe 7 Oktoba yamesababisha hospitali 22 na karibu vituo 50 vya afya katika eneo la pwani kuacha kutoa huduma.
Habari ID: 3477885    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13

Jinai za Israel
GAZA (IQNA)- Kuendelea mashambulizi ya kila upande ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza na kujiri mapigano makali kati ya vikosi vya muqawama na wavamizi hao karibu na kambi ya al-Shati iliyoko magharibi mwa mji wa Gaza, ni baadhi ya habari za hivi karibuni kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3477873    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/10

Jinai za Israel
PRETORIA (IQNA)-Afrika Kusini imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake makuu mjini The Hague (ICC) kuuwajibisha utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na vitendo vyake vya ukiukaji wa sheria za kimataifa wakati utawala huo ukiendelea kufanya jinai dhidi ya binadamu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477867    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwandishi mwingine wa habari wa Kipalestina ameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel huko Gaza huku vita vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vikiendelea kwa muda wa zaidi ya mwezi mmoja.
Habari ID: 3477860    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/08

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa katika mashambulizi ya anga ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza inakaribia 50.
Habari ID: 3477815    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/30

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina. Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
Habari ID: 3477800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Habari ya serikali huko Gaza Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu utawala haramu wa Israel ulipoanza kufanya mashambulio mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7 imepindukia 7000 huku makumi ya maelfu ya wengine wakiwa wamejeruhiwa au kutoweka.
Habari ID: 3477797    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya Israel vimewabana waumini wa Kiislamu wa Kipalestina katika kitongoji cha Wadi Al-Joz mjini Al Quds (Jerusalem), na kuwazuia kufika Msikiti wa Al-Aqsa kwa ajili ya Sala ya Ijumaa ya kila wiki.
Habari ID: 3477795    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

GAZA (IQNA) - Idadi ya watu waliouawa katika mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza imezidi 1,900 huku msafara wa Wapalestina waliokuwa wakielekea kusini mwa Gaza ukilengwa kwa makombora ya Israel.
Habari ID: 3477738    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/15

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji inayoendelea kufanya dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza iliouwekea mzingiro.
Habari ID: 3477707    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10

GAZA (IQNA) - Zaidi ya wakazi 120,000 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao kutokana na mzozo unaoendelea kati ya vikosi vya upinzani na jeshi la Israel, Umoja wa Mataifa ulisema.
Habari ID: 3477702    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/09

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Jeshi katili la Israel siku ya Jumamosi lilianzisha mashambulizi ya anga kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua Wapalestina wasiopungua 198, wakiwemo wanawake na watoto, katika eneo hilo.
Habari ID: 3477699    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Muqawama (Mapambano)
TEHRAN (IQNA)- Wapigania ukombozi wa Palestina leo wametekeleza operesheni kubwa zaidi na ya kihistoria dhidi ya utawala dhalimu na wa kikoloni wa Israel ambapo idadi kubwa ya wanajeshi wa Kizazyuni na walowezi wa Kizayuni wameangamizwa.
Habari ID: 3477698    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Zaidi ya Wapalestina 50 walijeruhiwa na wanajeshi katili wa utawala haramu Israel siku ya Ijumaa walipokuwa wakihudhuria mazishi ya kijana wa miaka 19 aliyefariki kutokana na majeraha yaliyosababishwa na walowezi Wazayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3477694    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/06