Watetezi wa Palestina
        
        IQNA - Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu yenye makao yake London (IHRC) amekosoa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa undumilakuwili wake linapokuja suala la kushtaki wahusika wa uhalifu wa kivita.
                Habari ID: 3478050               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/17
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA – Askari wa jeshi vamizi la Israel wameuhujumu na kuunajisi msikiti mmoja huko Jenin wakati wa shambulio lililosababisha vifo vya Wapalestina 12 siku ya Alhamisi.
                Habari ID: 3478037               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/15
            
                        Jinai za Israel
        
        GAZA (IQNA)-Harakati ya Kiisalmu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imelaani vikali vikosi vya utawala haramu kwa kuwakamata na kuwanyang'anya mali raia waliokimbia makazi yao katika shule moja katika Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478007               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/08
            
                        Watetezi wa Palestina
        
        DOHA – IQNA: Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kufanyika maandamano na mikutano kote duniani Ijumaa hii kuunga mkono Wapalestina wanakandamizwa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) sambamba na kulaani utawala wa dhalimu wa Israel.
                Habari ID: 3478000               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/07
            
                        Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina Gaza
        
        TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametumia ibara ya 99 ya Hati ya Umoja wa Mataifa, ambayo ni nadra sana kutumiwa na Katibu Mkuu wa umoja huo, kulitolea wito mzito Baraza la Usalama wa "kushinikiza kuepusha janga la kibinadamu" katika Ukanda wa Gaza na kuungana katika kutoa wito wa kusitishwa kikamilifu mapigano kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
                Habari ID: 3477999               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/07
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Huku vita vya maangamizi ya kimbari vya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, maafisa wa Palestina wanasema ndege za kivita za utawala huo zimelenga maeneo ya karibu na mji wa Khan Yunis kwa kutumia mabomu ya fosforasi ambayo yanakatzwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
                Habari ID: 3477988               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/12/05
            
                        Kadhia ya Palestina
        
        TEHRAN (IQNA)- Hatimaye kumefikiwa makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza kwa muda wa siku nne ili kutoa fursa ya kufikishwa misaada ya kibinadamu na pande mbili kubadilishana mateka.
                Habari ID: 3477928               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/22
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa Gaza na mkuu wa shirika la kutoa misaada anasema Wapalestina hawawezi tena kuamini sheria za kimataifa kwani zimeshindwa kuwalinda watoto ambao wanakabiliwa na uvamizi wa kikatili wa Israel.
                Habari ID: 3477926               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/21
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watoto 5,000 wameuawa katika vita vya mauaji ya kimbari vya utawala katili wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7. Onyo: Video hii ina matukio ambayo wengine wanaweza kupata ya kuwasumbua.
                Habari ID: 3477925               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/21
            
                        Watetezi wa Palestina
        
        CANBERRA (IQNA) – Maelfu ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina waliandamana kote Australia wikiendi hii, wakitoa wito wa kukomeshwa mara moja kwa mashambulizi ya kinyama ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza ambayo yameua zaidi ya watu 13,000, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto, tangu Oktoba 7.
                Habari ID: 3477918               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/20
            
                        Jinai za Israel
        
        RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi, na Utamaduni (ISESCO) limetoa tamko kali siku ya likilaani mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya shule mbili kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kuwa ni "fedheha kwa ubinadamu" na "uhalifu wa kutisha".
                Habari ID: 3477917               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/20
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Takriban watu 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati ndege za kivita za utawala wa Israel zilipodondosha mabomu katika msikiti mmoja katika mtaa wa Sabra katikati mwa Ukanda wa Gaza huku utawala huo ukiendeleza mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
                Habari ID: 3477900               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/16
            
                        Jinai za Israel
        
        LONDON (IQNA) - Askofu Mkuu wa Canterbury amesema hakuna msingi wowote wa kimaadili unaoweza kuhalalisha mauaji ya Wapalestina huko Gaza ambayo yanatekelezwa na utawala wa Israel.
                Habari ID: 3477889               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/14
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Mashambulio yasiyokoma ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza yaliyoanza tarehe 7 Oktoba yamesababisha hospitali 22 na karibu vituo 50 vya afya katika eneo la pwani kuacha kutoa huduma.
                Habari ID: 3477885               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/13
            
                        Jinai za Israel
        
        GAZA (IQNA)- Kuendelea mashambulizi ya kila upande ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza na kujiri mapigano makali kati ya vikosi vya muqawama na wavamizi hao karibu na kambi ya al-Shati iliyoko magharibi mwa mji wa Gaza, ni baadhi ya habari za hivi karibuni kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
                Habari ID: 3477873               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/10
            
                        Jinai za Israel
        
        PRETORIA (IQNA)-Afrika Kusini imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake makuu mjini The Hague (ICC) kuuwajibisha utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na vitendo vyake vya ukiukaji wa sheria za kimataifa wakati utawala huo ukiendelea kufanya jinai dhidi ya binadamu katika Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3477867               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/09
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Mwandishi mwingine wa habari wa Kipalestina ameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel huko Gaza huku vita vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vikiendelea kwa muda wa zaidi ya mwezi mmoja.
                Habari ID: 3477860               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/11/08
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa katika mashambulizi ya anga ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza inakaribia 50.
                Habari ID: 3477815               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/30
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina. Hayo yamejiri huku Umoja wa Mataifa ukitaka vita visitishwe mara moja.
                Habari ID: 3477800               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/28
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Habari ya serikali huko Gaza Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu utawala haramu wa Israel ulipoanza kufanya mashambulio mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7 imepindukia 7000 huku makumi ya maelfu ya wengine wakiwa wamejeruhiwa au kutoweka.
                Habari ID: 3477797               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/27