jinai za israel - Ukurasa 7

IQNA

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jeshi la utawala wa Kizayuni usiku wa kuamkia Jumatatu lilianzisha mashambulio makubwa dhidi ya mji na kambi ya wakimbizi ya Jenin ya Wapalestina. Magari 150 ya kijeshi na askari 1000 wa majeshi ya polisi, magenge ya kijasusi ya Kizayuni na polisi wa mpakani wa Israel wameshiriki kwenye uvamizi huo.
Habari ID: 3477241    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/05

Jinai za Israel
JENIN (IQNA)- Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi ya kinyama ya anga kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kuua shahidi Wapalestina wasiopungua wanane na kujeruhi makumi kadhaa.
Habari ID: 3477233    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/03

Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umelaani kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu na waenezaji wa Kizayuni, na kueleza kuwa ni ukatili na fedheha.
Habari ID: 3477191    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/25

Kamera za usalama zimemnasa mlowezi wa Kiisraeli akiwa na mbwa akirarua kurasa za Qur’ani Tukufu na kuzitupa chini nje ya msikiti mmoja katika kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477182    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/24

Uchambuzi kuhusu jinai za Israel
Mashirika mia moja ya Kimarekani yameanzisha mpango uliopewa jina la "Jamii Zisizo na Ubaguzi wa Rangi" kwa lengo la kusitisha uungaji mkono wa nchi yao kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.
Habari ID: 3477135    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/11

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Israel umeripotiwa kuteka eneo la kihistoria la Wapalestina la Nebi Samuel, lililoko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto unaoukalia kwa mabavu na makazi ya kanisa, msikiti na sinagogi, chini ya kisingizio "mbuga ya kitaifa".
Habari ID: 3477080    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".
Habari ID: 3477016    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

Uchambuzi kuhusu jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Katika mashambulizi yaliyofanywa juzi na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ambapo Wapalestina 15 waliuawa shahidi, zilichapishwa picha za uchungu huzuni za mwanamke na msichana mdogo wakiwaaga watu wa familia zao waliouliwa na jeshi la Israel, jambo ambalo limeumiza nyoyo na kuwatia watu simanzi na huzuni kubwa.
Habari ID: 3476989    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mbunge mmoja wa bunge la Marekani amesisitiza upya msukumo wa kuhakikisha kwamba misaada ya nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni Israel haichangii dhuluma dhidi ya Wapalestina, hasa watoto, huku wabunge wakiendelea kutoa wito wa kuwekwa masharti kuhusu usaidizi huo.
Habari ID: 3476972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala katili wa Israel lilishambulia maeneo ya Lebanon na Palestina katika Ukanda wa Gaza mapema Ijumaa, kufuatia kuvurumishwa makombora ya kulipiza kisasi kutoka Gaza na Kusini mwa Lebanon kutokana na mashambulizi ya kinyama ya utawala huo dhidi ya waumini wa Kipalestina ndani ya Msikiti wa al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3476825    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa utawala wa haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amelazimika kuakhirisha utekelezaji wa mpango wake wa kile kinachoitwa 'mageuzi ya mahakama' kufuatia maandamano ya Wazayuni dhidi ya mpango huo kwa wiki 12 mfululizo.
Habari ID: 3476772    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kukamatwa Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na matamshi yake dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3476739    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa idara ya uhusiano wa kimataifa katika Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) anasema kushindwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa katika kushughulikia jinai iliyotendwa hivi karibuni na utawala haramu wa Israel katika eneo la Huwara ni jambo ambalo litaupa kiburi utawala huo kuendeleza jinai zake.
Habari ID: 3476650    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, jinai za utawala ghasibu wa Israel zitajibiwa na wanamapambano shupavu wa Kipalestina na katu hazibakia hivi hivi bila ya majibu.
Habari ID: 3476625    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya watu nchini Jordan wanakataa kutambuliwa kwa utawala wa Israel na uhusiano nao, utafiti mpya unaonyesha.
Habari ID: 3476572    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Mwanaume wa Kipalestina ameuawa shahidi na walowezi Wazayuni Waisraeli siku ya Jumamosi katika eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476553    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Meya wa jiji la Uhispania la Barcelona ametangaza kusimamisha uhusiano na Tel Aviv kutokana na Israel kukiuka haki za watu wa Palestina kwa njia "iliyoratibiwa".
Habari ID: 3476542    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua Wapalestina arobaini na wawili wakiwemo watoto tisa tangu mwanzoni mwa mwaka huu.
Habari ID: 3476540    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema utawala wa Israel "lazima uvunje mfumo wa ubaguzi wa rangi au apathaidi ambao unasababisha mateso na umwagaji damu mkubwa" katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476502    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Matukio ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanikiwa kutwaa ndege isiyo na rubani ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel iliyokuwa ikiruka katika anga ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3476496    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31