Jinai za Israel
        
        IQNA - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alielezea kile kinachotokea katika Ukanda wa Gaza kuwa "hakikubaliki kabisa" baada ya wafanyakazi sita wa Umoja wa Mataifa kuuawa katika shambulio la anga la utawala haramu  wa Israel kwenye shule katika eneo la Palestina.
                Habari ID: 3479423               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/12
            
                        Jina za Israel
        
        IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kisilamu ya Palestina, kwa kifupi Hamas, imesema leo Jumanne kwamba, Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni anawadanganya wafuasi wake na serikali ya Marekani anapodai kupata ushindi katika vita vya Ghaza kwani hajafanikisha lengo hata moja zaidi ya kuua kwa umati na kikatili watu wasio na hatia.
                Habari ID: 3479373               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/03
            
                        
        
        IQNA-Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Israel usitishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukingo wa Magharibi ambayo yamepelekea Wapalestina wasiopungua 17 kuuawa shahidi.
                Habari ID: 3479347               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/29
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema wote waliouawa katika shambulio la bomu la Israel katika shule moja katika mji wa Gaza walikuwa raia.
                Habari ID: 3479263               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/11
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Kiongozi mkuu wa Kishia wa Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani ametoa wito wa mshikamano na umoja kati ya mataifa ya Kiislamu kuchukua hatua kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea katika Ukanda wa Gaza na kuwasaidia watu wake.
                Habari ID: 3479262               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/11
            
                        Jinai Israel
        
        IQNA - Jeshi la Israel lilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya shule moja katikati mwa Mji wa Gaza wakati Wapalestina waliokimbia makazi yao walipokuwa wakiswali alfajiri, na kuua takriban watu 100.
                Habari ID: 3479256               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/08/10
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA – Utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia maji kama silaha ya vita dhidi ya Wapalestina huko Gaza, ikionyesha kutojali maisha ya binadamu na kukiuka sheria za kimataifa.
                Habari ID: 3479185               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/26
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Wito unaongezeka kote ulimwenguni wa kuipiga marufuku timu ya utawala haramu wa Israel kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 inayoanza Ijumaa huku utawala huo ukiendeleza vita vya mauaji ya halaiki dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3479182               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/25
            
                        Shambulizi la Israel dhidi ya Bandari ya al Hudaydah
        
        Vikosi vya Jeshi la Yemen vimeapa kuendeleza operesheni zinazoiunga mkono Palestina baada ya utawala haramu wa Israel kushambulia maeneo ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.
                Habari ID: 3479160               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/21
            
                        Kadhia ya Palestina
        
        Makundi ya kisiasa na kijamii ya Palestina yamepongeza uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kutazama ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa haramu na kinyume cha sheria.
                Habari ID: 3479153               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/20
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Idara ya Habari ya Serikali ya Palestina katika Ukanda wa Ghaza imesema, askari wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya "shambulio la kikatili ambalo halijawahi kushuhudiwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Nuseirat" na kuua kwa umati Wapalestina 210 hadi hivi sasa na makumi ya watu kujeruhiwa mitaani.
                Habari ID: 3478951               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/06/09
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Maafisa wa Palestina na makundi ya muqawama wamekaribisha uamuzi wa Umoja wa Mataifa wa kuuongeza utawala wa Israel kwenye 'Orodha ya Aibu' kwa kuua watoto katika vita vya Gaza.
                Habari ID: 3478950               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/06/08
            
                        
        
        IQNA - Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetoa onyo kali kwamba misaada ya kutosha ya kibinadamu haiwafikii Wapalestina huko Gaza, na kusababisha visa vikali vya njaa miongoni mwa watoto.
                Habari ID: 3478924               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/06/04
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Rais wa Venezuela amezilaani Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutofanya lolote kukomesha mauaji "ya kutisha" na ya Kinazi ya Israel dhidi ya Wapalestina.
                Habari ID: 3478899               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/29
            
                        Muqawama
        
        IQNA-Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za  Izz ad-Din al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478891               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/27
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora kambi ya watu waliolazimika kuhama makazi yao na kuhamia eneo lililotengwa kuwa na usalama huko Rafah, na kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 40, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto.
                Habari ID: 3478890               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/27
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Zaidi ya watoto 15,000 wanaripotiwa kuuawa shahidi na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
                Habari ID: 3478832               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/16
            
                        Jinai za Isarel
        
        Mkuu wa timu ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ametahadharisha kuwa mazingira ya kuidhaminia Gaza maji safi, chakula na dawa za matibabu yamefika marhala hatari na kwamba hatua ya kukifunga kivuko cha Rafah kunaifanya hali ya wakazi wa ukanda huo kuwa mbaya zaidi.
                Habari ID: 3478796               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/09
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478780               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/06
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Afisa wa Umoja wa Mataifa anasema uharibifu uliosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haujawahi kuonekana tangu Vita vya Pili vya Dunia, huku akikadiria kuwa ujenzi mpya wa eneo hilo la Palestina unaweza kuchukua miaka 80 na kugharimu hadi dola bilioni 40.
                Habari ID: 3478771               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/04