iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kundi moja la kutetea haki za binadamu limeutaka Umoja wa Mataifa kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe sera za kutumia mabavu ambayo hupelekea idadi kubwa ya Wapalestina kupoteza maisha.
Habari ID: 3475503    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14