Jinai za Israel
IQNA-Viongozi wa dunia wameendelea kulaani kitendo cha wanajeshi wa Israel kuwaua Wapalestina 116 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 760 waliokuwa wakisubiri msaada wa chakula katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478438 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/02
Jinai za Israel
IQNA - Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kinapanga kuandaa kongamano la kimataifa la "Miaka 75 ya kukaliwa kwa mabavu Palestina".
Habari ID: 3478437 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01
Jinai za Israel
IQNA-Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya KIMBARI.
Habari ID: 3478407 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24
Kadhi ya Palestina
IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi katili la Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na upanuzi wa mashambulizi ya kiholela ya utawala huo kwenye mji wa Rafah, kusini mwa ukanda huo.
Habari ID: 3478355 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/15
Jinai za Israel
IQNA-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini katika Ukanda wa Gaza imesema mashambulizi ya vikosi vya utawala katili wa Israel dhidi ya eneo hilo lililozingirwa yamebomoa na kuharibu misikiti 1,000 tokea Oktoba 7 mwaka uliopita hadi sasa.
Habari ID: 3478234 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22
Jinai za Israel
IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umewauwa maprofesa 94 wa vyuo vikuu, mamia ya walimu, na maelfu ya wanafunzi katika Ukanda wa Gaza katika muda wa miezi mitatu, kwa mujibu wa shirika moja huru la kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3478233 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22
Jinai za Israel
IQNA-Serikali za Mexico na Chile zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza na kuwashtaki maafisa wa utawala wa Israel ambao wamehusika katika jinai za kivita dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478215 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19
Jinai za Israel
IQNA - Shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya kibinadamu (OCHA) liliripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia utoaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Gaza.
Habari ID: 3478204 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16
Jinai za Israel
IQNA - Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OCHR) imesisitiza haja ya kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza ili kumaliza mauaji na mateso ya wananchi wakati vita vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo vikwa vinakaribia kutimia siku 100.
Habari ID: 3478189 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
Jinai za Israel
IQNA – Jinamizi ambalo watoto wa Gaza wanapitia linazidi kuwa mbaya siku hadi siku, mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) alisema.
Habari ID: 3478156 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06
Jinai za Israel
IQNA – Utawala katili wa Israel umefyatua zaidi ya tani 65,000 za makombora na mabomu kwenye Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, na kuua takriban watu 22,438, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3478150 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/05
Jinai ya Israel
IQNA-Naibu mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Palestina Hamas ameuawa katika shambulio la kigaidi la ndege isiyo na rubani ya utawala katili wa Israel katika kitongoji cha kusini mwa mji mkuu wa Lebanon wa Beirut.
Habari ID: 3478137 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03
Jinai za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeashiria mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, pendekezo la viongozi wa utawala huo wa Kizayuni la kutaka kupunguzwa idadi ya wakazi wa Gaza ni jinai ya kivita.
Habari ID: 3478128 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu yenye makao yake London (IHRC) amekosoa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa undumilakuwili wake linapokuja suala la kushtaki wahusika wa uhalifu wa kivita.
Habari ID: 3478050 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17
Jinai za Israel
IQNA – Askari wa jeshi vamizi la Israel wameuhujumu na kuunajisi msikiti mmoja huko Jenin wakati wa shambulio lililosababisha vifo vya Wapalestina 12 siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478037 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/15
Jinai za Israel
GAZA (IQNA)-Harakati ya Kiisalmu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imelaani vikali vikosi vya utawala haramu kwa kuwakamata na kuwanyang'anya mali raia waliokimbia makazi yao katika shule moja katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478007 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08
Watetezi wa Palestina
DOHA – IQNA: Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kufanyika maandamano na mikutano kote duniani Ijumaa hii kuunga mkono Wapalestina wanakandamizwa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) sambamba na kulaani utawala wa dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3478000 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07
Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina Gaza
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametumia ibara ya 99 ya Hati ya Umoja wa Mataifa, ambayo ni nadra sana kutumiwa na Katibu Mkuu wa umoja huo, kulitolea wito mzito Baraza la Usalama wa "kushinikiza kuepusha janga la kibinadamu" katika Ukanda wa Gaza na kuungana katika kutoa wito wa kusitishwa kikamilifu mapigano kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.
Habari ID: 3477999 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Huku vita vya maangamizi ya kimbari vya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, maafisa wa Palestina wanasema ndege za kivita za utawala huo zimelenga maeneo ya karibu na mji wa Khan Yunis kwa kutumia mabomu ya fosforasi ambayo yanakatzwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477988 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye kumefikiwa makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza kwa muda wa siku nne ili kutoa fursa ya kufikishwa misaada ya kibinadamu na pande mbili kubadilishana mateka.
Habari ID: 3477928 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/22