Jinai za Israel
        
        IQNA: Wakati kukiwa na ongezeko la wito wa kimataifa kwa Israel kujizuia na mashambulizi zaidi Gaza na ripoti za Mei Mosi za mashambulizi mengine mabaya, wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wamesisitiza kuhusu athari mbaya zinazoendelea za vita hiyo na haja ya kuhakikisha njia za kuaminika za usambazaji wa misaada kwa watu wanaohitaji kwa udi na uvumba zinapatikana.
                Habari ID: 3478756               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/02
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Afrika Kusini imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa kina kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478737               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/26
            
                        Jina za Israel
        
        IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha utawala haramu wa Israel umehusika katika jinai hiyo.
                Habari ID: 3478724               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/23
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Takriban miili 190 imetolewa kwenye kaburi la umati katika Hospitali ya Nasser katika mji wa Khan Younis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478717               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/22
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya katika Ukanda wa Gaza ambapo watu wanahangaika maisha kila siku, ukitangaza kuwa utazindua ombi la kimataifa la dola bilioni 2.8 kwa Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3478694               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/17
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Palestina, idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza imefikia 33,545 huku utawala huo katili ukiendeleza vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo lililozingirwa.
                Habari ID: 3478672               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/12
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, Hamas, amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".
                Habari ID: 3478669               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/04/11
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Viongozi wa dunia wameendelea kulaani kitendo cha wanajeshi wa Israel kuwaua Wapalestina 116 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 760 waliokuwa wakisubiri msaada wa chakula katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa siku ya Alhamisi.
                Habari ID: 3478438               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/03/02
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa  kinapanga kuandaa kongamano la kimataifa la "Miaka 75 ya kukaliwa kwa mabavu Palestina".
                Habari ID: 3478437               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/03/01
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya KIMBARI.
                Habari ID: 3478407               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/02/24
            
                        Kadhi ya Palestina
        
        IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi katili  la Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na upanuzi wa mashambulizi ya kiholela ya utawala huo kwenye mji wa Rafah, kusini mwa ukanda huo.
                Habari ID: 3478355               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/02/15
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini katika Ukanda wa Gaza imesema mashambulizi ya vikosi vya utawala katili wa Israel dhidi ya eneo hilo lililozingirwa yamebomoa na kuharibu misikiti 1,000 tokea Oktoba 7 mwaka uliopita hadi sasa.
                Habari ID: 3478234               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/22
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umewauwa maprofesa 94 wa vyuo vikuu, mamia ya walimu, na maelfu ya wanafunzi katika Ukanda wa Gaza katika muda wa miezi mitatu, kwa mujibu wa shirika moja huru la kutetea haki za binadamu.
                Habari ID: 3478233               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/22
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Serikali za Mexico na Chile zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza na kuwashtaki maafisa wa utawala wa Israel ambao wamehusika katika jinai za kivita dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
                Habari ID: 3478215               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/19
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya kibinadamu (OCHA) liliripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia utoaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Gaza.
                Habari ID: 3478204               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/16
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OCHR) imesisitiza haja ya kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza ili kumaliza mauaji na mateso ya wananchi wakati vita vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo vikwa vinakaribia kutimia siku 100.
                Habari ID: 3478189               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/13
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA – Jinamizi ambalo watoto wa Gaza wanapitia linazidi kuwa mbaya siku hadi siku, mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) alisema.
                Habari ID: 3478156               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/06
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA – Utawala katili wa Israel umefyatua zaidi ya tani 65,000 za makombora na mabomu kwenye Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, na kuua takriban watu 22,438, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
                Habari ID: 3478150               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/05
            
                        Jinai ya Israel
        
        IQNA-Naibu mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Palestina Hamas ameuawa katika shambulio la kigaidi la ndege isiyo na rubani ya utawala katili wa Israel katika kitongoji cha kusini mwa mji mkuu wa Lebanon wa Beirut.
                Habari ID: 3478137               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/03
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas,  imeashiria mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, pendekezo la viongozi wa utawala huo wa Kizayuni la kutaka kupunguzwa idadi ya wakazi wa Gaza ni jinai ya kivita.
                Habari ID: 3478128               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/01