Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema zaidi ya Wapalestina milioni mbili huko Gaza (Ghaza) wanateseka kutokana na mzingiro wa miaka 16 wa utawala haramu wa Israel dhidi ya eneo hilo.
                Habari ID: 3476492               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/31
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamevamia kambi ya wakimbizi wa Palestina katika mji wa Jenin na kuwauwa shahidi Wapalestina 9.
                Habari ID: 3476467               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/26
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Utawala ghasibu wa Israel unaripotiwa kupanga kujenga nyumba 18,000 zaidi vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala huo huko  Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3476462               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/25
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Makumi ya walowezi Waisraeli wamevamia eneo la Msikiti wa al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel, katika hatua nyingine ya uchochezi dhidi ya waumini Waislamu wa Kipalestina.
                Habari ID: 3476433               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/20
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya nchi 90 zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel kuacha hatua za kuwaadhibu Wapalestina kufuatia ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).
                Habari ID: 3476415               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/01/17
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Baraza la Wakfu la Jordan katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel limeonya kwamba utawala wa kibaguzi unaugeuza  Msikiti wa Al-Aqsa kuwa eneo la kijeshi.
                Habari ID: 3476325               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/29
            
                        Jinai za Isarel
        
        TEHRAN (IQNA) - Takriban Wapalestina 74 waliokuwa wakishikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel wamekufa shahidi kutokana na kunyimwa huduma kiafya.
                Habari ID: 3476287               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/22
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa unasema mwaka 2022 unasalia kuwa mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi tangu 2005, huku katika kipindi cha mwezi moja Wapalestina 19 wakiuawa shahidi katika mashambulizi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
                Habari ID: 3476264               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/18
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Afya ya Palestina imetoa ripoti yake na kusema kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2022 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi Wapalestina 205 katika sehemu mbalimbali za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
                Habari ID: 3476181               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/01
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kwa mara nyingine tena kimeutaka ulimwengu uzingatia katika machungu na mateso ya taifa la Palestina na kukaliwa kwa mabavu ardhi sambamba na kulaani jinai za umwagaji damu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi Wapalestina.
                Habari ID: 3476177               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/01
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Mashirika 198 ya Palestina na kimataifa yameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza jinai za utawala wa kikoloni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
                Habari ID: 3476164               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/28
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi msichana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 19 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3476089               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia makazi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina sita.
                Habari ID: 3475989               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/10/25
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- NMratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo Yanayokaliwa kwa Mabavu ametangaza katika ripoti yake kwamba mwaka huu wa 2022 ulikuwa mwaka wa umwagaji damu zaidi katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka 16 iliyopita.
                Habari ID: 3475973               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/10/22
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) na kujeruhi takriban 21 kati yao wakiwemo watoto.
                Habari ID: 3475819               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/21
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, utawala ghasibu wa Israel umebomoa majengo 44 ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ikiwa ni muendelezo wa  siasa zake za unyakuzi wa ardhi za Palestinakinyume cha sheria.
                Habari ID: 3475803               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/18
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya uhalifu wa Sabra na Shatila.
                Habari ID: 3475794               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/16
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3475782               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Wamarekani wamefanya maandamano katika baadhi ya miji ya nchi hiyo wakilaani jinai na hatua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina na hatua ya mashirika makubwa ya Google and Amazon kuunga mkono utawala huo.
                Habari ID: 3475755               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/09
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amezungumzia ripoti ya jeshi la utawala wa Kizayuni baada ya utawala huo katili kumuua shahidi mwandishi Mpalestina, Shireen Abu Akleh na sawa na Wapalestina wote, ametaka utawala huo dhalimu upewe adhabu kali.
                Habari ID: 3475745               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/06