Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya Israel vimewabana waumini wa Kiislamu wa Kipalestina katika kitongoji cha Wadi Al-Joz mjini Al Quds (Jerusalem), na kuwazuia kufika Msikiti wa Al-Aqsa kwa ajili ya Sala ya Ijumaa ya kila wiki.
                Habari ID: 3477795               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/27
            
                        
        
        GAZA (IQNA) - Idadi ya watu waliouawa katika mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza imezidi 1,900 huku msafara wa Wapalestina waliokuwa wakielekea kusini mwa Gaza ukilengwa kwa makombora ya Israel.
                Habari ID: 3477738               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/15
            
                        Kadhia ya Palestina
        
        TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji inayoendelea kufanya dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza iliouwekea mzingiro.
                Habari ID: 3477707               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/10
            
                        
        
        GAZA (IQNA) - Zaidi ya wakazi 120,000 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao kutokana na mzozo unaoendelea kati ya vikosi vya upinzani na jeshi la Israel, Umoja wa Mataifa ulisema.
                Habari ID: 3477702               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/09
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) – Jeshi katili  la Israel siku ya Jumamosi lilianzisha mashambulizi ya anga kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua Wapalestina wasiopungua 198, wakiwemo wanawake na watoto, katika eneo hilo.
                Habari ID: 3477699               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/07
            
                        Muqawama (Mapambano)
        
        TEHRAN (IQNA)- Wapigania ukombozi wa Palestina leo wametekeleza operesheni kubwa zaidi na ya kihistoria dhidi ya utawala dhalimu na wa kikoloni wa Israel ambapo idadi kubwa ya wanajeshi wa Kizazyuni na walowezi wa Kizayuni wameangamizwa.
                Habari ID: 3477698               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/07
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Zaidi ya Wapalestina 50 walijeruhiwa na wanajeshi katili wa utawala haramu Israel siku ya Ijumaa walipokuwa wakihudhuria mazishi ya kijana wa miaka 19 aliyefariki kutokana na majeraha yaliyosababishwa na walowezi Wazayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
                Habari ID: 3477694               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/10/06
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya wanamaji vya jeshi la utawala katili wa Israel vimewajeruhi takriban wavuvi wawili wa Kipalestina baada ya kushambulia boti kadhaa katika pwani ya kaskazini ya Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
                Habari ID: 3477674               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/09/30
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)-Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mauaji ya Wapalestina wa Sabra na Shatila yaliyofanywa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameandika ujumbe usemao: Sabra na Shatila daima litabaki kuwa doa la aibu kwenye vipaji vya waungaji mkono wa utawala wa Israel na watetezi wa kizandiki wa haki za binadamu hususan Marekani na Uingereza.
                Habari ID: 3477606               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/09/16
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA)-- Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.
                Habari ID: 3477533               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/09/01
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Mpalestina aliyekuwa na umri wa miaka 20 amefariki dunia kutokana na majeraha mwezi mmoja baada ya kupigwa risasi na askari katili wa utawala haramu wa Israel waliokuwa wakishamulia  eneo moja la Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3477504               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/27
            
                        Jinai za Israel
        
        Al- AQSA (IQNA)- Kijana wa Kipalestina ameaga dunia kutokana na majeraha ya risasi aliyopigwa na wanajeshi wa utawala haramu Israel miaka miwili iliyopita wakati wa uvamizi wa kikatili wa Israel kwenye Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem).
                Habari ID: 3477459               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/19
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Takriban majengo 56 yanayomilikiwa na Wapalestina, zikiwemo nyumba sita, katika jiji la al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na eneo C la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan zimebomolewa au kutekwa na utawala ghasibu wa Israel katika muda wa wiki mbili.
                Habari ID: 3477451               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/17
            
                        Jinai za Israel
        
        Al-AQSA (IQNA)- Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali tena wameuvamia  na kuuvunjia heshima msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israen   huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3477435               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/08/14
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA)- Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa na vikosi vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel vilibomoa majengo 54 yanayomilikiwa na Wapalestina huko Al-Quds (Jerusalem) Mashariki katika tarafa kubwa zaidi ya eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu mwezi Julai.
                Habari ID: 3477353               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/29
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya matukufu ya Kikristo na makanisa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel yamekuwa yakiongezeka katika miezi ya hivi karibuni
                Habari ID: 3477330               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/24
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Wapalestina walishambuliwa na walowezi wa Kizayuni kwenye barabara na makutano kadhaa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu siku ya Jumapili.
                Habari ID: 3477299               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/18
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) – Wataalamu wa sheria wamebaini kuwa sheria za Mkataba wa Geneva kuhusu uhalifu wa kivita zilikiukwa katika shambulio la mauaji la jeshi la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin katika sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
                Habari ID: 3477286               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/15
            
                        Jinai za Israel
        
        AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya vifo vya Wapalestina imepita 200 mwaka huu kutokana na mashambulizi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel, jambo linaloashiria mwaka wa vurugu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika Ukingo wa Magharibi katika miongo kadhaa.
                Habari ID: 3477282               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/14
            
                        Jinai za Israel
        
        TEHRAN (IQNA) - Makundi ya muqawama yamewapongeza wananchi wa Palestina kwa kupata ushindi mkubwa wa kufanikiwa kuzima uvamizi na mashambulizi ya jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
                Habari ID: 3477247               Tarehe ya kuchapishwa            : 2023/07/06