iqna

IQNA

mapinduzi
Diplomasia ya Qur'ani
IQNA - Baadhi ya wasomaji Qur'ani Tukufu kutoka nchi za kigeni wamealikwa kushiriki katika programu za usomaji (qiraa) wa Qur'ani Tukufu nchini Iran wakati wa sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3478013    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Hali ya Tunisia
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Ennahda ya Tunisia ilizitaja hukumu zilizotolewa dhidi ya mkuu wa kambi ya Muungano wa ‘Heshima’, Seifeddine Makhlouf, wakili Mahdi Zaqrouba na wabunge kadhaa wa muungano huo kuwa "zisizo za haki na mfano hatari".
Habari ID: 3476464    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

TEHRAN (IQNA)- Jeshi Sudan ambalo limenyakua uongozi wa nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya hivi karibuni linaendelea na mazunguumzo na Abdalla Hamdok, Waziri Mkuu aliyeondolewa madarakani.
Habari ID: 3474512    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/04

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni nyenzo zinazotumiwa na Marekani.
Habari ID: 3474320    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vimearifu kuwa, jeshi la Tunisia limetuma vikosi vya jeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis kufuatia matukio ya karibuni na uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Kais Saeid wa kuwafuta kazi Waziri Mkuu na Spika wa Bunge.
Habari ID: 3474129    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26

TEHRAN (IQNA)- Mfalme Salman wa Saudia Jumatano alimtimua mrithi wa kiti chake na kumkabidhi nafasi hiyo mwanaye Muhammad bin Salman katika hatua iliyotajwa kuwa ni mapinduzi katika utawala.
Habari ID: 3471031    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/22

Habari ID: 3470459    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18

Ijumaa usiku Uturuki ilikuwa medani ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli kuiangusha serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Reccep Tayyib Erdogan.
Habari ID: 3470457    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.
Habari ID: 3470340    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa malengo ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati yanatofautiana kwa daraja 180 na ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3432363    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Ali Khamenei amesema kuwa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanafanya mikakati ya kubadili itikadi za jamii na kupenya katika vituo vya kutayarisha na kuchukua maamuzi hapa nchini.
Habari ID: 3364408    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/17

Siku ya Alkhamisi ya tarehe 4 Juni inasadifiana na kumbukumbu za siku ya kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3310852    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/04

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11

Mamillioni ya wananchi wa Iran leo wamejitokeza na kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka wa 36 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2840030    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano amekwenda kufanya ziara katika Haram ya mwanachuoni huyo mkubwa, na sambamba na kumsomea Faatiha, amemuenzi na kumuombea dua mwasisi huyo wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2777820    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/29

Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi Quds Tukufu ikombolewe.
Habari ID: 2743221    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22

Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija amesema kuwa, kwa vile kiwango cha mwelekeo na hamu juu ya dini ya Kiislamu imeongezeka barani Ulaya, viongozi wa bara hilo wanaamini kwamba Uislamu utaweza kulikamata bara hilo katika siku za usoni.
Habari ID: 1455969    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maudhui ya Umahdi na kudhihiri Imam wa Zama (ATF) ni ahadi isiyopingika ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuongoza jamii ya mwanaadamu.
Habari ID: 1416911    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kusalimu amri mbele ya nchi za Magharibi na kwamba imeweza kustawi na kuendelea siku hadi siku.
Habari ID: 1414443    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/05