Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Chama cha wasomi wa Kiislamu Yemen kimesema watawala wa Saudi Arabia hawastahili kusimamia maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu ya Makka na Madina baada Yahudi Muisraeli kuachwa kuingia katika maeneo hayo.
Habari ID: 3475528 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/23