Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kusafiri sio tu kunaweza kuwa na faida za burudani lakini pia kuna jukumu kubwa katika kuboresha afya ya mtu kiakili. Ndio maana Qur'ani Tukufu ikapendekeza kusafiri na kujionea dunia.
Habari ID: 3475655 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21