iqna

IQNA

twitter
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mtandao wa kijamii wa Twitter umetangaza kusimamisha kwa muda akaunti ya Qur'ani Tukufu ambayo ina wafuasi milioni 13 kutokana na kile wakuu wa mtandao huo wa kijamii walichokiita kuwa eti ni ukiukaji wa miongozo yake.
Habari ID: 3476522    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

TEHRAN (IQNA) - Shirika la intaneti la Google limekosolewa vikali watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
Habari ID: 3472970    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17

Mwislamu mmoja mkazi wa mji wa New York Marekani ameanzisha kampeni ya kutuma Aya za Qur'ani Tukufu kwa njia ya mtandao wa kijamii wa Twitter katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3470358    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05