Wanaharakati watatu katika nyuga za dini, elimu na uchapishaji wanatazamiwa kushiriki katika Tamasha la 14 la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS.
Habari ID: 3470513 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/10
Tamasha la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS, litafanyika nchini Iran na kushirikisha nchi 77 mwaka huu.
Habari ID: 3470491 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/03
Habari ID: 3470367 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08
Kongamano la Kimataifa la Kuwaenzi Wanawake Wanaoenza Utamaduni wa Imam Ridha AS limefanyika katika fremu ya Tamasha la 13 la Kimataifa la Imam Ridha AS katika Shirika la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO mjini Tehran, Jumapili Agosti 23.
Habari ID: 3351168 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25