iqna

IQNA

Imam Ridha AS
TEHRAN (IQNA) – Idaraya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ridha AS katika mji wa Mashhad nchini Iran imeandaa duru ya tisa ya warsha kwa mabalozi wake ambapo duru hii imewajumuisha wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka Madagascar.
Habari ID: 3475607    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Imam Ridha AS
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Tanzania wamepata fursa ya kuipokea kwa furaha bendera ya Imam Ridha AS ambayo ilikuwa katika msafara wa kimataifa wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa mtukufu huyo.
Habari ID: 3475372    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13

TEHRAN (IQNA)- Leo mji mtakatifu wa Mashhad umetanda furaha katika haram ya Ali bin Musa Ridha AS iliyoko katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3475362    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni, na kuongeza kuwa hivi kuna njama za kupanda mbegu za ugomvi kati ya vikundi hivi vya India.
Habari ID: 3475284    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) amelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa hivi karibuni katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran na kusababisha kuuawa shahidi maulamaa wawili.
Habari ID: 3475112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)-Mwanamke kutoka Uholanzi amesilimu katika Mkesha wa siku ya kukumbuka kuzaliwa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri Kwake), Imamu wa 12 wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3475049    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/18

TEHRAN (IQNA)- Maombolezo ya kukumbuka mwaka alipouawa shahidi Imam Ali bin Musa al Ridha AS, Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia duniani yamefanyika katika Husainia ya Imam Khomeini MA hapa mjini Tehran na kuhudhuriwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3474392    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07

Haram Takatifu ya Hadhrat Masouma (SA) katika mji wa Qum nchini Iran siku hizi ni mwenyeji wa mijimuiko ya maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka kuaga dunia Mtume Muhammad SAW na pia kuuawa shahidi wakujuu wake, yaani Imam Hassan Mujtaba AS na Imam Ridha AS.
Habari ID: 3474388    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA)- Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS imefanyika nchini Kenya katika Kituo cha Kiislamu cha Jaafari mjini Nairobi kwa himaya ya Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Kenya.
Habari ID: 3474032    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22

TEHRAN (IQNA)- Tuko katika kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Ridha AS, mmoja kati ya Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474029    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/21

TEHRAN (IQNA)- Sherehe inayojulikana kama Naqqareh Zani imefanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha AS, katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran katika mkesha wa kukumbuka kuzaliwa Imamu huyo wa Nane wa Madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3474026    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/21

TEHRAN (IQNA)- Katika siku za mwisho za Mwezi wa Safar wa mwaka 1422 Hijria Qamaria, ambazo pia ni siku za kukumbuka kifo cha Mtume Muhammad SAW na pia kuuawa shahidi Imam Hassan AS na Imam Ridha AS, Haram Takatifu ya Imam Ridha AS katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran iko katika mazingira ya majonzi na maombolezo.
Habari ID: 3473267    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17

TEHRAN (IQNA) – Kama ilivyokuwa katika miaka iliyotangulia, Haram Takatifu ya Imam Ridha AS, Imam wa Nane wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia, imepambwa kwa munasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa mtukufu huyo.
Habari ID: 3472917    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/01

TEHRAN (IQNA) - Maeneo matakatifu ya ibada na ziara katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameanza kufunguliwa baada ya kuwepo mafanikio makubwa katika kudhibiti ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472801    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/25

TEHRAN (IQNA)- Maulamaa na Waislamu wa matabaka mbali mbali wa madhehebu ya Sunni nchini Iran wameungana na wenzao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha AS , mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW ambaye pia ni Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia.
Habari ID: 3471732    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/07

TEHRAN (IQNA) Kwa munasaba wa Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko mjini Mashhad nchini Iran wamefika Zanzibar nchini Tanzania na kukutana na Ulamaa wa Ahul Sunna.
Habari ID: 3471104    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/05

TEHRAN (IQNA)-Katika siku za kukaribia Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko nchini Iran wametembelea Tanzania na kukaribishwa kwa taadhima na wafuasi pamoja na muhibina wa Ahul Bayt AS nchini humo.
Habari ID: 3471100    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/03

IQNA-Mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa rasmi kama Mji Mkuu wa Utamaduni katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470781    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04

Tuko katika siku ya mwisho ya mwezi wa Safar, siku ambayo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa Ridha AS mmoja kati ya watu wa Nyumba tukufu ya Mtume Mtukufu Muhammad SAW.
Habari ID: 3470706    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/30

Tarehe 11 Mfunguo Pili Dhil Qaada ni siku ya maadhimisho ya kuzaliwa Imam Ali bin Musa ar-Ridha AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.
Habari ID: 3470520    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/14