iqna

IQNA

ghafir
Sura za Qur'ani Tukufu /40
TEHRAN (IQNA) - Mwenyezi Mungu anasema katika Aya ya 60 ya Sura Ghafir ya Qur'ani Tukufu kwamba, "Niombeni nami nitakuitikieni." Kwa hiyo sharti la maombi kujibiwa ni kwamba tumwite Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476077    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/12

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanadamu kiuhalisia hufuata ukweli. Anataka kusikia, kuona na kusema ukweli, lakini wakati mwingine husahau asili yake na kwa kusema uwongo o na hivyhuacha ukweli.
Habari ID: 3475823    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22