ubaguzi wa waislamu

IQNA

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimeonyesha wasiwasi mkubwa kufuatia ongezeko la matamshi ya chuki na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) wakati wa michuano ya Kombe la Dunia ya mwaka 2026.
Habari ID: 3482527   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/23

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA-Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) eneo la San Francisco Bay Area (CAIR-SFBA) limelaani vikali mashambulizi ya maneno ya chuki yaliyolenga jamii ya Waislamu wakati wa Eid Al-Adha.
Habari ID: 3478992   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) - Wabunge kadhaa nchini Marekani wamezitaka benki za nchi hiyo kuacha mbinu za kibaguzi dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3476191   Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03