iqna

IQNA

Siku Kuu
TEHRAN (IQNA)-Waislamu kote ulimwenguni leo wameanza kusherehekea moja ya karamu zao muhimu zaidi, Idul Fitr.
Habari ID: 3476896    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21

Kituo cha Kimataifa cha Astronomia
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Astronomia (IAC) kimesema Siku Kuu ya Idul Fitr, ambayo inaadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, huenda ikaangukia Jumamosi.
Habari ID: 3476880    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu zimesherehekea Idul Fitr baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wakati ambao katika baadhi ya nchi za Kiislamu amani na usalama inaonekana kuwa kiungo muhimu zaidi kinachokosekana katika maisha ya watu wa nchi hizo.
Habari ID: 3475210    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05

Maelfu ya Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumanne walishiriki katika Sala ya Idul Fitr baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475204    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya waumini wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika eneo lililo baina ya Haram Mbili Takatifu za Imam Hussein AS na Hadhrat Abbas AS linalojulikana kama Bayn al-Haramayn katika mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3475203    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA) Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamua ametuma salamu za mkono wa Idi kwa Waislamu na viongozi wa nchi za Kiislamu duniani kote
Habari ID: 3475201    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

Hotuba ya Sala ya Idul Fitr Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Idul Fitr mjini Tehran amesema katika hotuba zake kwenye Swala ya Eidul-Fitri leo hapa mjini Tehran kwamba, maandamano ya Sikuu ya Kimataifa ya Quds yameonyesha kuwa, malengo matukufu ya taifa madhulumu la Palestina yangali hai.
Habari ID: 3475200    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/03

TEHRAN (IQNA)- Kinachowangoja waumini baada ya mfungo wa mwezi mmoja ni Idi adhimu ambayo imetolewa kwa wale ambao wametoka kwa mafanikio katika Ramadhani ambao ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu
Habari ID: 3475198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA)-Wapalestina karibu laki moja wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr leo Alkhamisi asubuhi katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) licha ya sheria kali zilizowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel ambao siku chache zilizopita wanajeshi wa utawala huo katili waliwashambulia kwa mabomu Waislamu waliokuwa wanasali ndani ya Msikiti huo.
Habari ID: 3473906    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Iran wamejiunga na wenzao katika baadhi ya maeneo ya dunia katika sherehe za Idul Fitr. Hapa Tehran sawa na miji mingine ya Iran wuamini wamesali Sala ya Idul Fitr kwa kuzingatia kanunni za kuzuia kuenea corona.
Habari ID: 3473904    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/13

TEHRAN (IQNA) – Siku kuu ya Idul Fitr ni kati ya siku kuu muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kawaida huwa siku ya mapumziko. Mwaka huu katika aghalabu ya nchi za Kiislamu kumekuwa na hali maalumu ya tahadhari wakati wa Idi ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472799    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/25

TEHRAN (IQNA) - Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani sambamba na kutoa pongezi kwa mnasaba wa Sikukuu ya Idul-Fitr, ametaka wananchi wote washirikiane kwa ajili ya kuwalinda Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472798    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA) - Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kushiriki katika Swala ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472796    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472795    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa jimbo la Java Mashariki nchini Indonesia umebatilisha idhini ya Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Akbar mjini Surabaya baada ya wataalamu kuonya kuhusu matokeo mabaya ya mjumuiko wa watu wengi wakati wa kipindi hiki cha janga la COVID-19.
Habari ID: 3472780    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Tatizo la utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwa hauna uhalali, ni utawala ambao msingi wa uundwaji wake ni batili, kwa taufiki yake Mwenyezi Mungu na kwa hima ya mataifa ya Waislamu, utawala huo kwa yakini utaangamia."
Habari ID: 3471560    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3471559    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiisalmu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Kusini mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470437    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo kuwa taifa la Iran litaendelea kusimama kidete dhidi ya maadui wote kwa ajili ya kutetea taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 3470435    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Leo ni Siku Kuu ya Idul Fitr; baada ya siku 30 za Mwezi wa Ramadhani wenye baraka tele na neema nyingi za Mwenyezi Mungu pamoja na baraka zake za kimaanawi. Huu ni mwanzo halisi wa kuelekea katika ubora wa mwanadamu. (Ayatullah Khamenei: 13/10/2007)
Habari ID: 3470433    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/05