iqna

IQNA

Maisha ya Nabii Isa (AS) katika Qur’ani/2
IQNA - Isa au Yesu (AS) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwaita Wana wa Israili (Bani Israil) kuelekea katika Taudi au kumpwekesha Mwenyezi Mungu, na pia kuwathibitishia kwamba alikuwa nabii kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479964    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28

Sura za Qur’ani Tukufu /61
TEHRAN (IQNA) – Katika kila zama katika historia ya wanadamu, waumini wamejitahidi kulinda dini na kukabiliana na ukafiri. Hili ndilo lililofanywa na wanafunzi waaminifu wa Nabii Isa au Yesu –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe JuuYake- wanaojulikana kama Hawariyun.
Habari ID: 3476549    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12