iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.
Habari ID: 3476744    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22