Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel leo hii uko katika hali dhaifu sana katika historia yake na kwamba, nguvu ya harakati ya muqawama imeulazimisha utawala huo kutoa majibu ya woga.
Habari ID: 3476839 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09