iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na idadi kubwa ya walimu nchini Iran na akasema: Ni jambo lisilowezekana kuvuka njia ngumu za maendeleo ya pande zote ya nchi bila ya msaada na mchango wa sekta ya elimu na malezi.
Habari ID: 3476949    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Katika vipindi mbali mbali vya historia, wanafikra wameweza kunawiri katika nyuga za utamaduni na sayansi na hivyo kuwafungulia wanaadamu wengi njia ya nuru na saada.
Habari ID: 1402070    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/02