Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 27-29 mwezi Desemba.
Habari ID: 3468455 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/23
Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wameandaa hafla kadhaa kwa mnasaba wa wiki ya kupinga ubaguzi unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 2921399 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/03
‘Wiki ya Qur’ani kwa Hisani ya Iran’ imeandaliwa nchini Uganda kwa himaya ya Idara ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda.
Habari ID: 1432796 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/23