Ahmed Refaat Afariki Dunia
Mchezaji wa kimataifa wa Misri Ahmed Refaat alifariki kutokana na matatizo baada ya mshtuko wa moyo.
Habari ID: 3479088 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08
Mohsen Haji-Hassani Kargar wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameibuka mshindi katika kitengo cha qiraa cha Mashindano ya 57 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Malaysia.
Habari ID: 3314400 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/15
Duru ya 36 ya Mashindano ya Kimatiafa ya Hifdhi, Qiraa na Tafsiri ya Qur’ani Tukufu yameanza leo Novemba 15 katika Msikitu Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) , Saudi Arabia.
Habari ID: 1473482 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15
Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yaliyowashirikisha mahafidh 1800 wa Qur'ani Tukufu yamefanyika katika mji wa Islamabad nchini Pakistan.
Habari ID: 1452131 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/21