rwanda

IQNA

IQNA – Katika tukio nadra linaloonesha upanuzi unaokua wa elimu ya Qur’ani katika ngazi ya kimataifa, mji mkuu wa Rwanda uliandaa hafla ya kuhitimu wahifadhi wa Qur’ani 70,000, wanaume na wanawake.
Habari ID: 3481968    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/21

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
Habari ID: 3478709    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /28
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Harun, ambaye ni mhubiri wa Kiislamu kutoka Rwanda, alitumia miaka saba kutafsiri Qur'ani Tukufu katika lugha rasmi ya nchi yake.
Habari ID: 3477430    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

TEHRAN (IQNA)-Binti Aisha Nikuze amekuwa msichana wa kwanza kufika katika fainali ya Mashindano ya 7 Kimataifa ya Qur'ani ya Rwanda yaliyofanyika mwezi uliopita.
Habari ID: 3471588    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/09

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 Kimataifa ya Kuhifadhi Qur'ani ya Rwanda yamemalizika Jumamosi ambapo mshindi alikuwa Maazu Ibrahim Muadh wa Niger ambaye aliwashinda washiriki 42 kutoka nchi 17 za Afrika.
Habari ID: 3471572    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/25

Vijana wasomaji wa Qur'ani kutoka nchi kadhaa za Afrika Mashariki wamekutana Kigali Rwanda na kubainisha wazi kuwa wanapinga idiolojia ya mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3470458    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/17

Mashindano ya Qur’ani yamefanyika nchini Rwanda chini ya himya ya Jumuiya ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 1455972    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30