iqna

IQNA

ulaya
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mji wa Hamburg nchini Ujerumani utakuwa mwenyeji wa Awamu ya 10 ya Mashindano ya Qur'ani ya Ulaya mwezi ujao. Kituo cha Dar-ol-Qur'ani al-Kareem cha Ujerumani kinaandaa hafla hiyo ya Qur'ani.
Habari ID: 3478539    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/19

Watetezi wa Palestina
IQNA - Watu katika nchi kadhaa za Ulaya walifanya maandamano siku ya Jumamosi kutoa sauti ya mshikamano na watu wa Palestina na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3478303    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/04

Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA) - Mahakama kuu ya Umoja wa Ulaya imeamua Jumanne kwamba waajiri wa umma katika nchi wanachama wanaweza kupiga marufuku wafanyakazi kuvaa ishara zozote zinazoonekana za imani ya kidini, ikiwa ni pamoja na vazi la staha katika Uislamu, Hijabu, na hivyo kuashiria pigo kwa uhuru wa dini wa mamilioni ya wanawake Waislamu barani humo.
Habari ID: 3477961    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/29

Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA) - Marion Lalisse, mratibu mpya wa Umoja wa Ulaya katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), alidai Alhamisi kuwa Umoja wa Ulaya una mipango mahususi ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3477283    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 20 la Kongamano la Wapalestina Wanaoishi Ulaya lilifanyika Malmo, Uswidi, Jumamosi. Maelfu ya Wapalestina wanaoishi katika nchi za Ulaya walishiriki katika mkusanyiko huo, Al-Ahed News iliripoti.
Habari ID: 3477060    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja lisilo la kiserikali imeripoti kuwa, wanawake Waislamu wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa ubaguzi na mashambulio ya wenye chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476783    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashirika ya kiraia ya Kiislamu yameshutumu nchi za Ulaya kwa kukandamiza jamii za Kiislamu, na hivyo kuzusha hali ya wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu inayofadhiliwa na serikali barani Ulaya.
Habari ID: 3475859    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissein Brahim Taha ameelezea wasiwasi wa jumuiya hiyo kuhusiana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu katika baadhi ya nchi za Ulaya.
Habari ID: 3475812    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Mwanamke mmoja huko Plymouth, kusini magharibi mwa Uingereza, alikubali Uislamu baada ya kusoma Qur’ani Tukufu mara nne katika muda wa mwezi mmoja.
Habari ID: 3475726    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03

Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu huko Cork, jiji la pili kwa ukubwa nchini Ireland, imewaalika watu kuwauliza maswali yoyote wangependa kuhusu Uislamu au mtindo wa maisha wa Waislamu katika hafla maalum ya Kiislamu ya 'mlango wazi'.
Habari ID: 3475653    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya inaonyesha kuwa kumekuwepo na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia barani Ulaya.
Habari ID: 3474746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika kijiji cha Bohoniki nchini Poland sasa wanaongoza mkakati wa kuwasaidia wakimbizi katika eneo hilo linalopakana na Belerus.
Habari ID: 3474611    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28

TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza nafasi ya kipekee ya tabaka la vijana katika masuala muhimu nchi na kueleza kuwa, uwepo wa kizazi hicho katika masuala hasasi ya nchi ni katika mafanikio na fakhari ya Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473668    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Haiwezekani kuwa na imani kamili na madola ya kigeni na kuwa na matumaini nayo kwa ajili ya kutatua matatizo.
Habari ID: 3473390    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

TEHRAN (IQNA)-Vijana Waislamu katika nchi 10 barani Ulaya wamewapa wapitanjia maua ya waridi na vijikaratasi vyenye maelezo ya kimsingi kuhusu Uislamu kwa lengo la kuondoa hofu na ubaguzi dhidi ya Uislamu na kustawisha maelewano katika jamii.
Habari ID: 3471919    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/17

TEHRAN (IQNA)-Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kutenga bajeti ya Euro Milioni 10 kwa ajili ya utafiti wa kina kuhusu namna Qur'ani Tukufu imeathiri utamaduni wa Ulaya.
Habari ID: 3471780    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/21

TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu barani Ulaya inatazamiwa kupanda na kufika asilimia 8 na asilimia 2.1 nchini Marekani ifikapo mwaka 2030, imesema ripoti ya Global Muslim Diaspora.
Habari ID: 3471511    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Hamburg kimetangaza washindi wa Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur’ani ya Waislamu wa Ulaya.
Habari ID: 3471423    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu barani Ulaya imekadiriwa kuongezeka kutoka milioni 25 hivi sasa hadi kufikika milioni 76 ifikapo mwaka 2050, uchunguzi umebaini.
Habari ID: 3471289    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/01