TEHRAN (IQNA)-Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kutenga bajeti ya Euro Milioni 10 kwa ajili ya utafiti wa kina kuhusu namna Qur'ani Tukufu imeathiri utamaduni wa Ulaya.
Habari ID: 3471780 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/21
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu barani Ulaya inatazamiwa kupanda na kufika asilimia 8 na asilimia 2.1 nchini Marekani ifikapo mwaka 2030, imesema ripoti ya Global Muslim Diaspora.
Habari ID: 3471511 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/13
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Hamburg kimetangaza washindi wa Mashindano ya Sita ya Kimataifa ya Qur’ani ya Waislamu wa Ulaya.
Habari ID: 3471423 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu barani Ulaya imekadiriwa kuongezeka kutoka milioni 25 hivi sasa hadi kufikika milioni 76 ifikapo mwaka 2050, uchunguzi umebaini.
Habari ID: 3471289 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/01
TEHRAN (IQNA)-Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani matamshi ya afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambaye amezitaka nchi za Ulaya ziwe na udhibiti katika misikiti ili kuzuia hujuma za “kigaidi”.
Habari ID: 3471267 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/17
TEHRAN (IQNA)-Waislamu barani Ulaya wanahisi kuongezeka ubaguzi ambapo wawili kati ya watano (asilimia 40) wakisema wamekumbana na ubaguzi wakati wa kutafuta kazi, nyumba au huduma za umma kama vile elimu an matibabu.
Habari ID: 3471186 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/22
TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya 5 ya Qur'ani Tukufu yemamalizika Stockholm nchini Sweden Jumapili kw akutangazwa washindi.
Habari ID: 3471166 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/11
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur'ani Tukufu barani Ulaya yamepwanga kufanyika katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm kwa munasaba wa Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3471108 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/06
Indhari ya Interpol
TEHRAN (IQNA)-Polisi ya Kimataifa (Interpo) imechapisha orodha ya wanachama 173 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wanaohatarisha usalama wa nchi za Ulaya.
Habari ID: 3471078 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/22
TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya Qur'ani Tukufu barani Ulaya yamepwanga kufanyika katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm.
Habari ID: 3471062 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/12
TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa misikiti barani Ulaya wameanzisha kampeni amani kwa kutemeblea miji iliyoshambulia na magaidi kwa jina la dini huku wakilaani ugaidi na misimamo mikali.
Habari ID: 3471057 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/09
IQNA-Mahakama ya Uadilifu ya Ulaya imekosolewa vikali na Waislamu kwa kutoa hukumu kuwa waajiri barani humo wanaweza kuwazuia wafanyakazi wa kike Waislamu kuvaa hijabu kazini.
Habari ID: 3470897 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/16
Mashindano ya 4 ya Qur’ani Tukufu Ulaya Kaskazini yameanza Ijumaa hii katika mji mkuu wa Sweden, Stockholm.
Habari ID: 3470517 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/12
Kongamano la Kimataifa kuhusu masomo ya Qur'ani Tukufu limemalizika katika mji wa Manchester nchini Uingereza.
Habari ID: 3470463 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18
Duru ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa aya Qur'ani Barani Ulaya itfanyika nchini Ujerumaani kuanzia Machi 25-27 mwaka 2016.
Habari ID: 3468966 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/24
Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa Nickolay Mladenov Mashariki ya Kati amesema kunahitajika muungano wa kimatiafa wa kijeshi ili kuangamiza kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3363344 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/16
Slovakia imetangaza kuwa itawakubali tu wahajiri Wakristo wakati wa kuwachukua wakimbizi kutoka Syria.
Habari ID: 3350005 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/22
Ripoti zinaonyesha kuwa, idadi ya Waislamu katika mji mkuu wa Russia, Moscow inakuwa kwa haraka.
Habari ID: 3332166 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/22
Kiongozi wa chama cha upinzani katika utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala huo unakabiliwa na Intifadha ya kidiplomasia kutokana na kuongezeka harakati za vuguvugu la kususia bidhaa za Israel kote duniani.
Habari ID: 3311792 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/07
Baraza la Fatwa Ulaya
Barani Ulaya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza Alkhamisi Juni 18. Tangazo hilo limetolewa na Baraza la Fatwa na Utafiti Ulaya (EFCR) kwa mujibu wa mahesabu ya kifalaki.
Habari ID: 3311365 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06