iqna

IQNA

Kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa AS
Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea matumaini yake kuwa mwaka wa 2015 utakuwa mwaka wa uhuru, ustawi, kustahamiliana, umoja na amani kwa watu wote duniani.
Habari ID: 2626708    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/25