iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mwezi moja baada ya kutangaza kuikumbatia dini tukufu ya Kiislamu, Emmanuel Adebayor, mchezaji soka mashuhuri Mwafrika nchini Uingereza ambaye sasa ni mshambuliaji wa Tottenham, amefafanua sababu zilizompelekea kusilimu.
Habari ID: 3338997    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa AS
Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea matumaini yake kuwa mwaka wa 2015 utakuwa mwaka wa uhuru, ustawi, kustahamiliana, umoja na amani kwa watu wote duniani.
Habari ID: 2626708    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/25