Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Kimataifa Ali Akbar Velayati amekutana na kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon mjini Beirut na Rais Bashar al Assad wa Syria mjini Damascus.
Habari ID: 3305555 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/19