kuharibu

IQNA

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji wa Kale wa Al-Quds (Jerusalem) zinaweza kuhatarisha uimara wa msikiti huo mtukufu.
Habari ID: 3481407    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/24

Sheikh Ahmad Khatib, Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kusema kwa mujibu wa sheria za Kiislamu, ni haramu kubomoa athari na turathi za kihistoria.
Habari ID: 3308489    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27