iqna

IQNA

Diplomasia
IQNA- Rais wa Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iwapo nchi za Kiislamu zitaungana zenyewe, utawala wa Kizayuni wa Israel hatathubutu kufanya jinai kirahisi na Marekani na nchi za Magharibi pia hazitaunga mkono utawala huo."
Habari ID: 3479608    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/17

Arbaeen
IQNA - Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa safari ya Arbaeen ya mamllioni ya ni ishara ya umoja kati ya mataifa na dini.
Habari ID: 3479562    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08