IQNA – Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi na Kuaga kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza maelezo mapya kuhusu shughuli zilizopangwa kufanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482424 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/01
IQNA – Gavana wa mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran amesisitiza utayari kamili wa mji huo katika kuandaa shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei.
Habari ID: 3482394 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/23