Misikiti Miwili Mitakatifu
        
        TEHRAN (IQNA) - Kichina kimeongezwa kwenye orodha ya lugha ambazo hutarjumiwa au hutafsiriwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi, katika Vyombo vya Habari.
                Habari ID: 3476238               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/12
            
                        Hija na Umrah
        
        TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia inatazamiwa kuandaa hafla iliyopewa jina la "Maonyesho ya Hija" mnamo Januari mwaka ujao huko Jeddah.
                Habari ID: 3476221               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/09
            
                        Hiija na Umrah
        
        TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa takwimu za hivi punde zaidi zilizotolewa na mamlaka ya Saudia, Waislau  watu milioni 30 wanaoshiriki ibada ya Hija ndogo ya Umrah wamepokea huduma za hiari katika Msikiti Mtakatifu Mkuu wa Makka, Al Masjid al Haram, mwaka huu wa Hijria Qamaria.
                Habari ID: 3476212               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/12/07
            
                        Shakhsia Katika Qur’ani /16
        
        TEHRAN (IQNA) – Ismail alikuwa mtoto wa kwanza wa Nabii Ibrahim –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-(AS). Baada ya kuzaliwa, Ismail alipelekwa Makka pamoja na mama yake Hajar kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Uhamaji huu ulikuwa mwanzo wa historia iliyotangaza kuwasili kwa Uislamu.
                Habari ID: 3476124               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/21
            
                        Mji wa Makka
        
        TEHRAN (IQNA) – Mvua kwa kawaida hunyesha katika mji mtakatifu wa Makka kwa kiasi kidogo kati ya Novemba na Januari. Ijumaa, Novemba 11, ilikuwa siku ya neema ya mvua katika mji mtakatifu.
                Habari ID: 3476080               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/11/13
            
                        Mashindano ya Qur'ani Tukufu
        
        TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa Mashindano ya  42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdul Aziz huko Makka, Saudi Arabia  wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
                Habari ID: 3475843               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/26
            
                        Turathi za Kiislamu
        
        TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano ya kihistoria inayohusiana na zama za Mtume Muhammad (SAW) katika eneo la Makka itakarabatiwa.
                Habari ID: 3475715               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/09/01
            
                        Kaaba Tukufu
        
        TEHRAN (IQNA) – Maafisa kadhaa wa Saudia walihudhuria sherehe za kila mwaka za kuosha Kaaba Tukufu katika mji wa Makka Jumanne asubuhi.
                Habari ID: 3475630               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/08/16
            
                        Njama za Wazayuni
        
        TEHRAN (IQNA) –Saudi Arabia inasema imemkamata raia wake ya ambaye alimuwezesha mwandishi habari Yahudi Muisraeli  kuingia katika mji mtakatifu wa Makka, jambo ambalo ni kinyume cha sheria kwani wasio Waislamu hawaruhusiwi kuingia katika eneo hilo takatifu.
                Habari ID: 3475522               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/22
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA) – Ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija imeandaa mahafali za qiraa ya Qur’ani Tukufu katika mji mtakatifu wa Makka.
                Habari ID: 3475513               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/17
            
                        Umrah
        
        TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia ilitangaza kurejesha utoaji wa visa za Umrah baada ya kusitishwa wakati wa msimu wa Hija.
                Habari ID: 3475511               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/16
            
                        Teknolojia
        
        TEHRAN (IQNA) – Huduma mpya ya kisasa  imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al-Haram,  mwaka huu ili kusambaza Misahafu kwa waumini na Mahujaji.
                Habari ID: 3475493               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/12
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA)- Mahujaji Wairani wameshiriki katika mjumuiko wa kujibari na kujiweka mbali na washirikina (bar’aat min-al-mushrikeen) siku ya Ijumaa wakati wa Ibada ya Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria
                Habari ID: 3475482               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/09
            
                        Kiongozi Muadhamu Katika Ujumbe wa Hija
        
        TEHRAN (IQNA)- Katika ujumbe wake kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Magharibi zenye kiburi zimezidi kudhoofika siku baada ya siku katika eneo letu nyeti, na hivi karibuni katika dunia nzima.
                Habari ID: 3475473               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/08
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Kimataifa wa Qur'ani Tukufu Ustadh Yousef Jafarzadeh hivi karibuni alisoma aya ya 125 ya Surah  Baqarah katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjidul Haram.
                Habari ID: 3475467               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/05
            
                        Ibada ya Hija na Teknolojia
        
        TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia ime yamepeleka roboti 11 smart ili kuzalisha msikiti mkubwa wa Makka wakati wa ibada ya Hija mwaka huu.
                Habari ID: 3475458               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/03
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya waumini wa dini tukufu ya Kiislamu kutoka kona zote za dunia wameendelea kuwasili  katika mji mtakatifu wa Makka Ijumaa, wakiwa ni miongoni mwa Waislamu milioni moja wanaotarajiwa kushiriki ibada ya Hija mwaka huu wa 2022  ambapo hii ni mara ya kwanza baada ya miaka miwili ya kuzuia mahujaji kutoka nje ya Saudia kutokana na janga la Covid.
                Habari ID: 3475446               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/07/01
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA) – Muislamu Muingereza mwenye asili ya Iraq aliwasili Makka siku ya Jumapili baada ya kuanza safari ya miguu zaidi ya miezi 10 iliyopita nchini Uingereza.
                Habari ID: 3475441               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/06/29
            
                        Ripoti yafichua
        
        TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Waisraeli kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina
                Habari ID: 3475415               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/06/23
            
                        Ibada ya Hija
        
        TEHRAN (IQNA)- Operesheni ya kuosha na kusafisha Ka’aba Tukufu huko Makka imekamilika ili kuandaa mahali patakatifu kwa ajili ya Hija ijayo.
                Habari ID: 3475335               Tarehe ya kuchapishwa            : 2022/06/04