makka - Ukurasa 7

IQNA

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia inalazimika kukabidhi masuala ya kusimamia na kuendesha ibada ya Hija kwa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3370688    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/26

Idara ya Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdul Aziz imelizuia shirika la ujenzi la Bin Ladin kuendelea na shughuli zake za ujenzi nchini humo baada ya kutokea ajali ya kreni auwinchi iliyopelekea zaidi ya mahujaji 107 kufariki dunia mjini Makka.
Habari ID: 3363334    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/16

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka.
Habari ID: 3362440    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia ajali ya kusikitisha katika mji Mtakatifu wa Makka siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3361981    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/13

Wafanyaziara wasiopungua 107 wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na kreni au winchi katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Habari ID: 3361271    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/11

Gazeti moja la Uingereza hivi karibuni limechapisha orodha ya misikiti 25 bora duniani kwa mtazamo wa usanifu majengo.
Habari ID: 3338961    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04

Duru ya 36 ya Mashindano ya Kimatiafa ya Hifdhi, Qiraa na Tafsiri ya Qur’ani Tukufu yameanza leo Novemba 15 katika Msikitu Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) , Saudi Arabia.
Habari ID: 1473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/15

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Bangladesh Abdul Latif Siddique amefukuzwa kazi kwa kuvunjia heshima ibada ya Hija na Mtume Muhammad (saw).
Habari ID: 1456641    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/03