IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa Waislamu 255 wamechaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za umma katika majimbo 26 ya Marekani mwaka 2026, idadi kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa. Viongozi hao wanahudumu katika karibu kila ngazi ya serikali, wakiwemo wajumbe wa Kongresi, maseneta na wawakilishi wa majimbo, majaji, meya, wajumbe wa mabaraza ya miji, bodi za shule na nafasi nyingine za mitaa.
Habari ID: 3482656 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/21
IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni dhidi yake viliongezeka kwa kasi kubwa, kulingana na utafiti mpya wa Kituo cha Utafiti wa Chuki Iliyopangwa (CSOH).
Habari ID: 3482626 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/15
TEHRAN (IQNA) - Wabunge katika Kongresi ya Marekani ambayo walidhalilishwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo wamesema hawatatishika.
Habari ID: 3472046 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/16
IQNA: Bilionea Mzayuni anayefadhili cha Democrat nchini Marekani anapinga kuteuliwa mjumbe Mwislamu katika Bunge la Kongresi kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya chama hicho.
Habari ID: 3470717 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/05